Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,557
- 6,132
- Thread starter
- #21
Kuna mdau kaliweka huko juu unaweza ukalitazamawengine hatulijui hili tangazo. Mtoa mada hebu tufafanulie kidogo
Kuna mdau kaliweka huko juu unaweza ukalitazamawengine hatulijui hili tangazo. Mtoa mada hebu tufafanulie kidogo
Mdada anajua kujibebisha huyo ndiyo maana hayo magube-gube yanamuonea wivu
Haha yes igizo la huyu bidada limetuvutia mno sasa tunakwazwa na wanaobadili chanel kila hili tangazo likianzaHilo tangazo si wanaigiza tu jamani mnajifariji au
Haha yes igizo la huyu bidada limetuvutia mno sasa tunakwazwa na wanaobadili chanel kila hili tangazo likianza
🤣halitufurahishi maana sio halisii
Hubadilisha Chanel?Na hiyo elfu nne nnayoisev kila wikii, NDIO NIMEITUMIA BABAA. Huwa najikuta nacheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app