Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,551
- 6,110
Nilikuwa najua ni mke wangu tu ila leo katika kupiga piga stori na wadau mbalimbali nao wanasema hivyo hivyo.
Wengine wanasema wake zao hununa na wengine wanasema wanamchukia yule Dada.
Swali kwenu wanawake. Kwani lile tangazo lina shida gani mpaka muwe hivyo?
View attachment 1477445
Wengine wanasema wake zao hununa na wengine wanasema wanamchukia yule Dada.
Swali kwenu wanawake. Kwani lile tangazo lina shida gani mpaka muwe hivyo?
View attachment 1477445