Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Hizo pesa ni general cost za kununua Vifaa, kodi ya majengo nk vitambulisho nadhani havijagharimu hata elf 50,, hyo pesa ni jumla ya pesa ambayo serikali iliipa Nida tangu 2012 mradi ulipoanza, kila program inalipiwa vile vile wala usidhani ni vitambulisho vitatengenezewa hewani bila kununua vitu
Kwahiyo tukitaka kupata Return on Investment/value for money si ndio tuta gawanya gharama yote iliyofanya mradi huo ukamilike hadi kuzalisha hizo vitambulisho(salaries..utilities...tax..materials..etc) igawanywe kwa IDs produced ?
au kuna logic tofauti na hii?

Kiuchumi hii ndo itakua implication kuwa hadi hizo ids say 2m zimepatikana uliwekeza hizo billions..but specific cost/market price ya kitambulisho inatakua cheap zaidi assuming unazalishia sehemu ambayo hizo cost zingine ziko covered you only pay for IDS
 
Shule za kata ni janga la kitaifa. Na hivi wameamua kufanya elimu bure bila kuboresha maslahi ya walimu ina maana mzigo zaidi unamuelemea mwalimu na kuzalisha wajinga kama YEHODAYA wengi zaidi. Sidhani kama hata GPA ya Kikwete ya 2.1 ulifikisha wewe
Kula like mkuu, umesema kilekile nlichokuwa nakifikiria
 
aiseee bilioni ina sifuri 9
1,000 elfu moja
1,000,000 milioni moja
1,000,000,000 bilioni moja
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
Yehodaya naona ulisoma kabla ccm haijapata uhuru.
 
QUOTE="dudus, post: 15263000, member: 38243"]Niulize swali rahisi tu regardless ni bilioni ya UK au US. Bilioni walizopewa NIDA zina tarakimu 9 au 12? Yaani vitabu vya hesabu na transactions mbali mbali vya NIDA, Serikali, n.k. vinaonesha tarakimu ngapi? Labda hii ndio ingekuwa basis ya hii hoja mfu isiyo na maana.[/QUOTE
Serikali tayari ilishatia Tzs.176 Billion. Kama ulikwenda shule utajua ni tarakimu ngapi. Fullstop.
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja.Ngoja nikuandikie kabisa bilioni moja ina sifuri 12.Kwa tarakimu inaandikwa hivi

1,000,000,000,000
Kumbe upo mweupe kiasi hiki?
Trillion inaandikwaje
 
...kuna jizi moja kubwa ndo limewafundisha hao wengine, sijui kwa nini magufuli hajalitumbua mpaka leo....
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
Daaah this is serious , people have money Bwana , nobody cares , in China they could have been died already
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.[/QUOTE
mkwere aitwe na kuulizwa hayo mambo alikuya hayajui ,na kama alikuwa anajua alichukua hatua gani?.na aeleze nini maana ya kuwa kiongozi wa nchi,inawezekana huyu mtu alikuwa hajua kazi yake nini?
 
Umekosea umechukua bilioni ipi ile ya american bilioni au English BILION?

Bilioni ya mwingireza ina sifuri 12.Bilioni moja ni sawa na milioni milioni
ya mmarekani bilioni moja ina sifuri 9 yaani milioni elfu moja.
Kwa TANZANIA bilioni ni milioni milioni ndio niliyotumia
Nabaki na msimamo wangu Kitambulisho kimoja ni milioni 89.8 sio elfu 89.8 uliyotamka

We mkali mkuu. Sikujua kama Tanzania bilioni ina milioni milioni. Na trilioni itakuwaje? Basi huwa tunapunjwa kwenye bajeti maana sijawai hata kusikia milioni 'elfu kumi na tatu' achilia mbali milioni laki tisa. Futa aibu hii mkuu
 
Yehodaya naomba uniambie hii sh ngapi? Tsh 1,000,000,000.00
 
Yehodaya rudi shule! Hesabu gani hizo? Za kirumi Au za kikwenu?
 
Yehodaya rudi shule! Hesabu gani hizo? Za kirumi Au za kikwenu?
Ndio alipokuwa analeta ubishi sikutaka kubishana nae maana huwezi kujua labda huyu bwana maisha yake amekulia Zimbwabwe, na wote tunajua hesabu zao za hela huko.
 
Hapo ndio ulipobugi na kila siku tunasema humu tatizo lenu misukule ya Lumumba ni elimu ya hapa na pale na iq ndogo. Kama mwenyekiti wa chama gpa ni 2.1 wewe mbulumundu wa Lumumba itakuwa ngapi?

Bilioni moja ni milioni elfu moja
1,000,000,000. Hiyo uliyoandika wewe ni trilioni moja
Sasa naona una utani na mwandishi mmoja sijui Kubonyea, yeye ndio alidai ana Elimu ya hapa na pale!
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
NI Matokeo Ya SERIKALI Legelege Na Viongozi Dhaifu Hiyo!! ALAFU Waliotoa Pesa Ndio Wanaitwa KUCHUKUA Vitambulisho Vyao Kama ISHARA Ya KUZINDUA Zoezi!! HUKU Vitambulisho Vilivyogharimu Mamilioni Hayo HAVINA Ubora Hata Wa Kuizidi Driving License!! LKN Viongozi Hao Wa CCM Wanacheka Tu!!!! HUO Ufisadi Utawaumbua Viongozi Tu Ndani Ya Serikali Ya CCM!! KAMA Kweli Wako MAKINI Kuupata Ukweli Wake!! ILA Ikiwa Ni FUNIKA KOMBE TU, Maisha Yaendelee!! Ni CCM NI Ile Ile Na VIONGOZI Ni Wale Walee!!!! BABU MWIZI, BIBI MWIZI, BABA MWIZI, MAMA MWIZI, SHANGAZI MWIZI, MJOMBA MWIZI, DADA, KAKA, WAJUKUU WOOOOTE MACHORI TU!!! BABA IBA, TOTO FICHA!!!
 
NI Matokeo Ya SERIKALI Legelege Na Viongozi Dhaifu Hiyo!! ALAFU Waliotoa Pesa Ndio Wanaitwa KUCHUKUA Vitambulisho Vyao Kama ISHARA Ya KUZINDUA Zoezi!! HUKU Vitambulisho Vilivyogharimu Mamilioni Hayo HAVINA Ubora Hata Wa Kuizidi Driving License!! LKN Viongozi Hao Wa CCM Wanacheka Tu!!!! HUO Ufisadi Utawaumbua Viongozi Tu Ndani Ya Serikali Ya CCM!! KAMA Kweli Wako MAKINI Kuupata Ukweli Wake!! ILA Ikiwa Ni FUNIKA KOMBE TU, Maisha Yaendelee!! Ni CCM NI Ile Ile Na VIONGOZI Ni Wale Walee!!!! BABU MWIZI, BIBI MWIZI, BABA MWIZI, MAMA MWIZI, SHANGAZI MWIZI, MJOMBA MWIZI, DADA, KAKA, WAJUKUU WOOOOTE MACHORI TU!!! BABA IBA, TOTO FICHA!!!
Siasa zimekwisha acha umburula
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
ANAHASIRA NAO,...
AnCHUKUA HATUA GANIII
 
Back
Top Bottom