Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Hizo pesa ni general cost za kununua Vifaa, kodi ya majengo nk vitambulisho nadhani havijagharimu hata elf 50,, hyo pesa ni jumla ya pesa ambayo serikali iliipa Nida tangu 2012 mradi ulipoanza, kila program inalipiwa vile vile wala usidhani ni vitambulisho vitatengenezewa hewani bila kununua vitu


Bila Shaka wewe mnufaika wa izo ngawira,,Magu lazima azae na nyinyi
 
Umekosea umechukua bilioni ipi ile ya american bilioni au English BILION?

Bilioni ya mwingireza ina sifuri 12.Bilioni moja ni sawa na milioni milioni
ya mmarekani bilioni moja ina sifuri 9 yaani milioni elfu moja.
Kwa TANZANIA bilioni ni milioni milioni ndio niliyotumia
Nabaki na msimamo wangu Kitambulisho kimoja ni milioni 89.8 sio elfu 89.8 uliyotamka
Yehoda, naona unapenda tu kubisha,unatetea hoja yako ambayo unajua sio ya kweli. Hakuna bilioni yenye sifuri kumi na mbili katika dunia hii.
unless utuambie huu nao ni ugunduzi wako.
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
Ulikua huhudhurii vipindi vya hesabu
 
Nitoe ufafanuzi kwa nini natofautiana na wewe.
Kama umesoma marekani bilioni moja kwa mmarekani ina sifuri 9 nikiandika kwa tarakimu bilioni moja ni ni 1,000,000,000 ukipiga kwa kutumia hii ya wamarekani kila kitambulisho kimoja utapata kimegharimu shilingi 89,800 ULIZOSEMA wewe.

Mfumo wetu wa elimu Tanzania ni wa KIINGEREZA sio kimarekani Kwa mfumo wa kiingereza tunaoutumia Bilioni moja ina sifuri 12.Ukiiandika inakuwa 1,000,000,000,000.Ukipiga hesabu unapata milioni 89.8

WeWE BILIONI YAKO uliyotumia ina sifuri 9 YA KWANGU INA SIFURI 12 .Wamarekani bilioni moja ni milioni elfu moja ambayo ndio umetumia Waingereza bilioni moja ni milioni milioni moja ambayo ndio nimetumia sababu ndio inatumika tanzania
Swali ni kuwa billioni wanazotumia serikali ni za muingereza au mmarekani na trillioni ni ipi?
 
Hizo pesa ni general cost za kununua Vifaa, kodi ya majengo nk vitambulisho nadhani havijagharimu hata elf 50,, hyo pesa ni jumla ya pesa ambayo serikali iliipa Nida tangu 2012 mradi ulipoanza, kila program inalipiwa vile vile wala usidhani ni vitambulisho vitatengenezewa hewani bila kununua vitu
Ni kweli pia zikitumika kwa ajili ya kuwatajirisha MABOSI wa NIDA kwa kujenga mahekalu binafsi fukweni mwa Indian Ocean na kuwekeza vitega uchumi kwa ajili ya familia zao!
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja.Ngoja nikuandikie kabisa bilioni moja ina sifuri 12.Kwa tarakimu inaandikwa hivi

1,000,000,000,000
Billion ya wapi hiyo. Shule za kata Majanga
 
Nitoe ufafanuzi kwa nini natofautiana na wewe.
Kama umesoma marekani bilioni moja kwa mmarekani ina sifuri 9 nikiandika kwa tarakimu bilioni moja ni ni 1,000,000,000 ukipiga kwa kutumia hii ya wamarekani kila kitambulisho kimoja utapata kimegharimu shilingi 89,800 ULIZOSEMA wewe.

Mfumo wetu wa elimu Tanzania ni wa KIINGEREZA sio kimarekani Kwa mfumo wa kiingereza tunaoutumia Bilioni moja ina sifuri 12.Ukiiandika inakuwa 1,000,000,000,000.Ukipiga hesabu unapata milioni 89.8

WeWE BILIONI YAKO uliyotumia ina sifuri 9 YA KWANGU INA SIFURI 12 .Wamarekani bilioni moja ni milioni elfu moja ambayo ndio umetumia Waingereza bilioni moja ni milioni milioni moja ambayo ndio nimetumia sababu ndio inatumika tanzania
Watu wa lumumba ebu msaidieni huyu mbulumundu. Anawavua nguo. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja=1,000,000,000,000 ZIDISHA mara 180=180,000,000,000,000

Hapo kwenye 180,000,000,000 ongeza SIFURI zingine tatu ili iwe 180,000,000,000,000 Kisha endelea na hesabu zako
Unajivua nguo alafu unainama.
 
Umekosea umechukua bilioni ipi ile ya american bilioni au English BILION?

Bilioni ya mwingireza ina sifuri 12.Bilioni moja ni sawa na milioni milioni
ya mmarekani bilioni moja ina sifuri 9 yaani milioni elfu moja.
Kwa TANZANIA bilioni ni milioni milioni ndio niliyotumia
Nabaki na msimamo wangu Kitambulisho kimoja ni milioni 89.8 sio elfu 89.8 uliyotamka

Ukikosea kubali kurekebishwa... acha ubishi
 
NIDA walipewa shilingi bilioni 179.6 kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho vya taifa.Vitambulisho walivyotegeneza na kugawia wananchi ni milioni mbili.Ukigawa pesa walizopewa na vitambulisho walivyotengeneza utapata jawabu kuwa kila kitambulisho kimoja kimegharimu shilingi milioni 89.8.

Nchi hii ina wezi.Ndio maana Maghufuli kweli ana hasira nao.
Punguza sifuri kwenyw hii Mil.89.9 yako mkuu
 
Nitoe ufafanuzi kwa nini natofautiana na wewe.
Kama umesoma marekani bilioni moja kwa mmarekani ina sifuri 9 nikiandika kwa tarakimu bilioni moja ni ni 1,000,000,000 ukipiga kwa kutumia hii ya wamarekani kila kitambulisho kimoja utapata kimegharimu shilingi 89,800 ULIZOSEMA wewe.

Mfumo wetu wa elimu Tanzania ni wa KIINGEREZA sio kimarekani Kwa mfumo wa kiingereza tunaoutumia Bilioni moja ina sifuri 12.Ukiiandika inakuwa 1,000,000,000,000.Ukipiga hesabu unapata milioni 89.8

WeWE BILIONI YAKO uliyotumia ina sifuri 9 YA KWANGU INA SIFURI 12 .Wamarekani bilioni moja ni milioni elfu moja ambayo ndio umetumia Waingereza bilioni moja ni milioni milioni moja ambayo ndio nimetumia sababu ndio inatumika tanzania
Wewe pamoja na kuwa ni mpumbavu, nimegungua kuwa pia ni mjinga sana.

Haya, hebu niandikie shs trlioni moja kwa tarakimu?
 
ukitaka kupata picha halisi ulizia wafanyakaz wa nida cv zao na majina yao na waliajiriwa vipi hapo majibu utayapata!!!
 
acha wafyeke hizo bilioni

waliajiri ndgu zao na watoto wa wakubwa.

Tena hilo jipu lipo ukeni. Nida wamefanya ujinga sana. Wakajifanya wanaajiri HR law na nk.
Pesa imeliwa tayari lakini Magufuli anawaogopa sana ndiyo maana anauma na kupuliza hawezi kuthubutu kulitumbua hilo jipu milele.
 
Back
Top Bottom