Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

Watanzania wenzangu leo nimesoma kwenye magaezeti ya leo kuwa vitambulisho vya taifa kila kimoja kimeigharimu serikali 85,000/=.

Hii ni baada ya zaidi ya bilioni 170 kutumika kwa mikoa ya Dar na Pwani pekee ambapo vitambulisho milioni 2 vimetolewa.

Kwa kifupi ukichukua bilioni 170 ukagawa kwa vitambulisho milioni 2 utapata gharama ya kila kitambulisho 85,000/= kwa hiyo ili kupata vitambulisho vya raia wote inahitajika trilioni 3.8 sawa na gharama ya ujenzi wa reli mpya standard gauge.

Naona kunahitaji kuweka adhabu ya kunyongwa kwa mafisadi na wahujumu uchumi kama hawa.
mkuu hazikua bilioni 170, zilikua zaidi ya bilioni 176.68, kwa hiyo hizo bilioni 6.68 na point ulizozipuuzia ni hela mingi sana kupuuziwa
 
mkuu hazikua bilioni 170, zilikua zaidi ya bilioni 176.68, kwa hiyo hizo bilioni 6.68 na point ulizozipuuzia ni hela mingi sana kupuuziwa

Ni kweli nimeweka kadilio la chini. hata hivyo ni kiwangi kikubwa sana.
 
Kugawa 179B kwa idadi ya vitambulisho vilivo gawiwa ni makosa makubwa maana ndani ya hizo pesa kuna capital investment kama majengo (yaliyo jengwa kama data center na data recovery), ofisi karibu kila wilaya, magari, vifaa vya kusajilia, ambavyo gharama zake ni one time investment... unapo sema vitambulisho 2m vilivo gawiwa kuna vitambulisho vingi tu havijagawiwa.... kuna mengi ya NIDA hayafahamiki na nashindwa kuelewa kwa nini NIDA wasiweke ukweli wao pia.... kama wanaogopa kujibu sababu ya insurbodination maana sio vizuri kujibishana na Mh. Raisi basi waandishi wa habari ( investigative journalists ) ndo kazi yao......

Sawa naungana na wewe, kuwa yawezekana kuna some capital investment k rent and utilities cost, lkn kumbuka kuwa project hii ilikuwa pilot Dar na Pwani pekee hizo data centre and recovery zipo Dar pekee, rent ya ofice Dar ni USD18/Sequire meter hivyo kama watakodi 1000meter squire itakuwa dola 18000x 12months ni sawa na USD216,000 sawa na milioni 430,000 za kitanzania, hapo nimeweka bei ya juu sana, kwa sababu ofisi zao tunazifahamu, makao makuu ipi pale kinondoni jirani na leaders club, ofisi ndogo moja ipo mbezi beach goigi. nyingine ni viofisi vidogo sana ambazo kodi zake haifiki hata milioni 1 kwa mwezi. kwa kununua magari sidhani kama walinunua azaidi ya magari 100 kila gari milioni 50,000/= kwasababu hawana mashangingi wana vi samurai na double cabin amazo gharama yake ni chini ya milioni 50, tufanye bilioni 5-8 kwa hizo gaharama za uendeshaji. utabaki na bilioni 170. nilizopigia hesabu.
 
mkuu hazikua bilioni 170, zilikua zaidi ya bilioni 176.68, kwa hiyo hizo bilioni 6.68 na point ulizozipuuzia ni hela mingi sana kupuuziwa

Nimetoa bilioni 6.68km zilikuwa gharama za uendeshaji yaani ofisi, magari na mengineyo.
 
Kwa hiyo Kikwete hakuona huo ufisadi wa wazi kabisa ???
 
Sawa naungana na wewe, kuwa yawezekana kuna some capital investment k rent and utilities cost, lkn kumbuka kuwa project hii ilikuwa pilot Dar na Pwani pekee hizo data centre and recovery zipo Dar pekee, rent ya ofice Dar ni USD18/Sequire meter hivyo kama watakodi 1000meter squire itakuwa dola 18000x 12months ni sawa na USD216,000 sawa na milioni 430,000 za kitanzania, hapo nimeweka bei ya juu sana, kwa sababu ofisi zao tunazifahamu, makao makuu ipi pale kinondoni jirani na leaders club, ofisi ndogo moja ipo mbezi beach goigi. nyingine ni viofisi vidogo sana ambazo kodi zake haifiki hata milioni 1 kwa mwezi. kwa kununua magari sidhani kama walinunua azaidi ya magari 100 kila gari milioni 50,000/= kwasababu hawana mashangingi wana vi samurai na double cabin amazo gharama yake ni chini ya milioni 50, tufanye bilioni 5-8 kwa hizo gaharama za uendeshaji. utabaki na bilioni 170. nilizopigia hesabu.
Mkuu unajua hizo pesa walipewa tangu lini? Je unadhani ni pesa za mwaka mmoja ulio pita?
 
Mkuu unajua hizo pesa walipewa tangu lini? Je unadhani ni pesa za mwaka mmoja ulio pita?

Km wewe ni boss we mradi overhead cost zikawa kubwa kuliko lengo basi hutakiwi kusimamia huo mradi, kwa kifupi capital investment iwe bilioni 140 then uchapaji wa vitamburisho iwe bilioni 40 hapo kuna matatizo makubwa. mbona NEC wametumia the same materials na kuajiri the same manpower wakatumia only 60b kwa nini hawa watumiea pesa hiyo yote kwa vitamburishi vichache?
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja.Ngoja nikuandikie kabisa bilioni moja ina sifuri 12.Kwa tarakimu inaandikwa hivi

1,000,000,000,000
Na trillion utaiandikaje? Ndiyo maana kuna mtu kakuuliza kama mwaka 1974 ulikua na umri gani. 1,000,000,000 (one billion, short scale; one thousand million
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja=1,000,000,000,000 ZIDISHA mara 180=180,000,000,000,000

Hapo kwenye 180,000,000,000 ongeza SIFURI zingine tatu ili iwe 180,000,000,000,000 Kisha endelea na hesabu zako
Sasa wewe ni mtu ama Nyumbu? hiyo ni trillion. bilion 179.6 ni milion elfu moja mia saba tisini na sita ambayo kwa maandishi ya tarakimu ni 1,796,000,000.00 Nyerere aliharibu kutuletea UPE wakati wetu tuliita Ualimu Pasipo Elimu maana tulibadilisha kutoka
Universal Primary Education. maana watu walikua wanamaliza darasa la saba wanaenda vyuoni miezi sita wanarudi kufundisha wenzao waliowaacha. Taabu sana
 
Duuh hii ndo kwanza naisikia leo ,,,kwa elimu yangu ya darasa la nne sikuwahi kujua kuwa kila nchi ina utaratibu wake wa kuhesabu namba yaan 1b in UK is not equal to 1b in USA
ilikua hivyo lakini waingereza walibadilisha mwaka 1974 ili waenda na wenzao duniani
 
Bilioni moja ni milioni milioni moja.Ngoja nikuandikie kabisa bilioni moja ina sifuri 12.Kwa tarakimu inaandikwa hivi

1,000,000,000,000



Mmmh Twende sawa hapa:-

1. Million 1-1,000,000/-
2.Million 10-10,000,000/-
3.Million 100-100,000,000/-
4.Million 1000-1,000,000,000/- na hii ndiyo Billion 1. One Billion equals 1000Million, One Trillion equals 1000Billion na ndiyo hiyo umeiita Million million yaani 1power 12
 
Mmmh Twende sawa hapa:-

1. Million 1-1,000,000/-
2.Million 10-10,000,000/-
3.Million 100-100,000,000/-
4.Million 1000-1,000,000,000/- na hii ndiyo Billion 1. One Billion equals 1000Million, One Trillion equals 1000Billion na ndiyo hiyo umeiita Million million yaani 1power 12
1^12
 
mh jpm kasema havina saini yako, sahihi ya mtu mwenye iyo identity card. angalia chako kama sahihi yako ipo. sasa kanichanganya ina maana ni feki au??
 
Back
Top Bottom