Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,386
CHADEMA wasiposema ni hatua na wakisema ni hatua.
Wakikamatwa ni hatua na wakiachiwa ni hatua pia.
Wakizuiwa kufanya siasa kimazabe ni hatua na wakiruhusiwa kufanya siasa ni hatua.
CHADEMA wakiizungumzia Tanganyika ni hatua na wakiizungumzia Zanzibar na hata wakiizungumzia Tanzania ni hatua zaidi.
CHADEMA wakishiriki uchaguzi ni hatua na wakisema No reforms No election kwao ni hatua pia.
CHADEMA wakiwa wengi ni hatua na wakiwa wachache ni ishara kwao kuwa hiyo ni hatua.
Ukijiunga CHADEMA ni hatua kwa CHADEMA na ukiamua kuhama CHADEMA nayo kwa CHADEMA ni hatua pia.
Wakikamatwa ni hatua na wakiachiwa ni hatua pia.
Wakizuiwa kufanya siasa kimazabe ni hatua na wakiruhusiwa kufanya siasa ni hatua.
CHADEMA wakiizungumzia Tanganyika ni hatua na wakiizungumzia Zanzibar na hata wakiizungumzia Tanzania ni hatua zaidi.
CHADEMA wakishiriki uchaguzi ni hatua na wakisema No reforms No election kwao ni hatua pia.
CHADEMA wakiwa wengi ni hatua na wakiwa wachache ni ishara kwao kuwa hiyo ni hatua.
Ukijiunga CHADEMA ni hatua kwa CHADEMA na ukiamua kuhama CHADEMA nayo kwa CHADEMA ni hatua pia.