Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,845
Enzi zetu mwanafunzi wa sekondari lazima uwe na daftari lenye nyimbo za akina judy boucher, pamela nkuta, mc hammer, bob marley ivonne chaka chaka nk, na ukikaribia miezi ya mwisho kidato cha nne unatengeneza AUTOBIOGRAPHY na kuwapa wahitimu wenzako na mnaowaacha wasaini kwenye kitabu chako