Kila akiamka asubuhi uume haujasimama

Kila akiamka asubuhi uume haujasimama

jjs2017

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
2,027
Reaction score
4,316
Habari ndugu zangu,

Nina rafiki yangu wa kiume, tokea mke wake amesafiri nje kidogo kwenda kumuuguza mama yake mzazi ni mwezi sasa anasema kila akiamka asubuhi anajikuta uume haujasimama na pia anakosa ndoto nyevu na hamu ya kuwa na mwanamke na wakati mwingine anajihisi kama uume una baridi sana.

Sisi kama marafiki zake tumemwambia tuu labda ni mazingira yanachangia ya upweke wakukaa bila mke kwa sababu alizoea kuwa na mke muda mwingi. Sasa kuondoka kwake labda ndio kumechangia sana, ila ameshindwa kutuelewaa wakuu.

Sasa ndugu zangu sijui tuendelee kumwambiaje huyu ndugu, maana anasema sio kawaida yake kabisa na anaonekana mwenye msongo sana wa mawazo kwakweli.
 
Nina rafiki yangu wa kiume, tokea mke wake amesafiri nje kidogo kwenda kumuuguza mama yake mzazi ni mwezi sasa anasema kila akiamka asubuhi anajikuta uume haujasimama na pia anakosa ndoto nyevu na hamu ya kua na mwanamke na wakati mwingine anajihisi kama uume una baridi sana
Ajitokeze mwenyewe tumwambie cha kufanya
 
Habari ndugu zangu,

Nina rafiki yangu wa kiume, tokea mke wake amesafiri nje kidogo kwenda kumuuguza mama yake mzazi ni mwezi sasa anasema kila akiamka asubuhi anajikuta uume haujasimama na pia anakosa ndoto nyevu na hamu ya kuwa na mwanamke na wakati mwingine anajihisi kama uume una baridi sana.

Sisi kama marafiki zake tumemwambia tuu labda ni mazingira yanachangia ya upweke wakukaa bila mke kwa sababu alizoea kuwa na mke muda mwingi. Sasa kuondoka kwake labda ndio kumechangia sana, ila ameshindwa kutuelewaa wakuu.

Sasa ndugu zangu sijui tuendelee kumwambiaje huyu ndugu, maana anasema sio kawaida yake kabisa na anaonekana mwenye msongo sana wa mawazo kwakweli.
Ni wewe mkuu acha porojo za kumsingizia rafiki yako
197E1781-55AA-4AAF-843E-ADAE5BB247AF.jpeg
 
Kuna mambo yanaweza kupelekea tatizo hilo.

  1. Ukiwa una stress sana za kazi/maisha/mahusiano/fedha n.k mashine inaweza kutosimama hadi hayo matatizo yaishe.
  2. Kwa tuliosoma Cuba tunaweza kusema Mke wake amemtengeneza Jamaa ili asichepuke wakati wote atakapokuwa safarini
 
Uyo ndugu anashida atakua analeft group taratibu. Inatakiwa unavyoamka na babu awe amekutangulia kusimama. Anashindwa na mwanangu wa 1.5yrs anayeamka tayari imesimama.
 
Back
Top Bottom