Kikwete's most embarassing statements...

..hii hapa chini aliitoa ktk mkutano wa UWT-CCM uliofanyika Dodoma.

]KINA MAMA ENDELEENI KUZAA WASICHANA WAZURI KWANI KATIKA MIAKA HII MIWILI HATA KWENYE MASHINDANO YA UREMBO DUNIANI TUMETAMBA.

..tena hii anaelekea iliandikiwa ktk hotuba yake.

Hizi ndio hotuba wanazoandika akina January?
 

Kama waandishi wa hotuba za rais ni kina January Makamba unatarajia nini...???
 
Mimi pale aliposema matatizo ya umeme Tanzania ni mitihani ya mungu basi kutokea hapo nimeweka kalamu chini...
 

The Boss,
Ingekuwa vizuri kama unge-update hizo statement wanazotoa wachangiaji kwenye hii post ya kwanza. That is endelea from 3, 4, 5 etc ili tuwe na kumbukumbu muhimu. We need to have a compiled statements.
 
Huyu jamaa tusimlaumu sana imeshaonekana kuwa ngoma imekua nzito kwake tumuache amalizie akapumzike kwa amani.
 

asiyejua kiini cha tatizo.........hawezi kutatua tatizo.......
 
Nilidhani mheshimiwa watu wanamtania, kumbe ni kweli kayasema haya maneno kwenye hotuba yake, tena yameandikwa kwenye hotuba rasmi.

"....Kina mama pia endeleeni kuzaa wasichana wazuri kwani katika miaka hii miwili hata kwenye mashindano ya urembo duniani tumetamba. Nancy Sumari alipata tuzo ya Mrembo Bora wa Afrika katika mashindano ya Miss World mwaka jana. Mwaka huu, kwenye mashindano ya Miss Universe, binti wa Kitanzania, Flaviana Matata, naye alifanya vizuri."
 

INAWEZEKANA, rejea vision 2025
 
pia mimi nakumbuka siku alipomjibu mkurugenzi wa BBC Swahili Tido Mhando, katika dira ya dunia ya BBC jioni, mwaka 2006 alipoulizwa kuhusu malalamiko ya wananchi kuhusiana na safari zake za nje.....sasa bwana Tido unataka mimi nikae na wenzangu pale Chalinze tunakula mihogo wakati wakuu wa dunia wananiita....alikua karejea toka ziara ya USA na England.
 
Hizi ndio hotuba wanazoandika akina January?

Yep ...... January mwenyewe alikesha usiku mzima akizipitia over and over and over and over again.

Just imagine alikuwa anafikiria nini akiona hiyo line ...

wanawake waendelee kuzaa mabinti warrrrrrreeembo (sic)
 
..hii hapa chini aliitoa ktk mkutano wa UWT-CCM uliofanyika Dodoma.

KINA MAMA ENDELEENI KUZAA WASICHANA WAZURI KWANI KATIKA MIAKA HII MIWILI HATA KWENYE MASHINDANO YA UREMBO DUNIANI TUMETAMBA.

..tena hii anaelekea iliandikiwa ktk hotuba yake.

Tabia siku zote hujidhihirisha katika kauli! Mara matiti yenye kuvuja maziwa, mara zaeni wasichana warembo ..... So embarrassing! na kama iliandikwa inadhihirisha jinsi ambavyo wasaidizi wake wanavyoelewa anachopenda boss wao!
 
Lakini hata Mwalimu aliwahi kuuambia mkutano wa akina mama kwamba "uchumi wanao, wameukalia"! Na mzee Mwinyi aliwahi kuuongelea "ukuni" mmoja hauvishi chakula.

No! Si kweli, msianze kusingizia marehemu! Mwalimu alikuwa akiwaheshimu sana Wanawake.
 
Juzi kwenye maswali mwisho aliwaomba radhi eti ohh kachukua muda mwingi hadi mechi ya mpira karibia inaisha ..... lol

mpira ni muhimu!!!!

hata hii iliniudhi for sure. Anajali mechi za ulaya kuliko matatizo watanzania.
 
Haya Waungwana hebu wekeni updates za hivi karibuni.
 
Kauli iliyonishangaza ni aliposema"Sijui kwanini Tanzania ni maskini"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…