Hiyo siyo speech ni "Joke" ambazo wanasiasa wote wantumia. Obama ndiyo smart President, lakini anazungumza vitu vya kijinga kila wakati. Ukiwa mwanasiasa lazima ujue njia ya kukonect na watu wa mjini. Kwa sisi tuliotoka Dar (Kikwete pia) hizo ndizo lugha tunazotumia. Watu wa Bara wapo tofauti na watu wa Dar.
Kwangu his most embarassing speech ni pale aliposema maisha bora kwa kila Mtanzania. Nilijua kutokana na rekodi yake hataweza lakini nikabishiwa, nikabezwa, nikaambiwa JK we acha tu...
..the most embarassing statement ni pale aliposema kuwa serikali ikiruhusu wanafunzi waliojifungua kurudi shuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa madarasani.
NB:
..naomba mwenye ile speech atuletee hapa jamii forums.
Noooo! Kweli alisema haya? Nadhani unamsingizia, Mkuu!
Amandla......
..hii hapa chini aliitoa ktk mkutano wa UWT-CCM uliofanyika Dodoma.
KINA MAMA ENDELEENI KUZAA WASICHANA WAZURI KWANI KATIKA MIAKA HII MIWILI HATA KWENYE MASHINDANO YA UREMBO DUNIANI TUMETAMBA.
..tena hii anaelekea iliandikiwa ktk hotuba yake.
This is sad , mimi bado sitaki SITAKI KUAMINI kama kweli alisema hayo maneno.
Watanzania sio wavivu, lakini sera za siri za serikali yetu ni kujenga matabaka wazi ya uchumi. Wananchi wakitafuta mbinu za kujipatia mitaji hufilisiwa. Angalia DECI pesa zote za watu imekalia serikali na porojo kibao, wakiwazuga watu kwamba kesi iko mahakamani. Sikuwahi kusikia mwanadeci akilalamika juu ya DECI mpaka serikali ilipowapora watu hao kwa visingizio kibao.
Waliobahatika na matunda ya DECI sasa wako mbali kwelikweli, maana walishavuna na kuvuna na kuvuna wakaanzisha shughuri za uzalishaji na kuajiri. Serikali inasisitiza watu wakope benki na kulipa faida kuuuuubwa! Hata mahela ya Raisi tunayasikia redioni tu kwamba wateule wachache ndio wamepata, lakini hadithi haiendelei.... Wajinga ndio waliwao. Wao waliliua Azimio la Arusha la Mwalimu kwa kupenda ubepari, wanatekeleza kweli kweli sera za ubepari - kuwapo kwa matajiri sana na masikini sana. Mtu akiinua kichwa anakong'otwa. Kama mtu anabisha, irudi DECI na muone kama umasikini haujatokomezwa kwa wananchi wa kawaida.
Leka
Sasa kwa nini walitudanganya wakati wa kampeni?Ndugu yangu hata nchi nipewe mimi au wewe au yule, kamwe haiwezekani kuleta maisha bora kwa KILA mtanzania.
..the most embarassing statement ni pale aliposema kuwa serikali ikiruhusu wanafunzi waliojifungua kurudi shuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa madarasani.
NB:
..naomba mwenye ile speech atuletee hapa jamii forums.
Kwangu his most embarassing speech ni pale aliposema maisha bora kwa kila Mtanzania. Nilijua kutokana na rekodi yake hataweza lakini nikabishiwa, nikabezwa, nikaambiwa JK we acha tu...