Kikwete's most embarassing statements...


Haki you could be right lakini kibaya zaidi kwa huyu baba wa Bagamoyo ni kwamba hata matendo yake yanaendana na anachokifanya, he is never serious tofauti na mtu kama Obama ambaye anapiga mzigo. By the way, Haki tunakupa nafasi uombe radhi maana kwa kumlinganisha huyo jamaa na Obama ni kama vile umelinganisha dimbwi la maji na bahari.
 
Kwangu his most embarassing speech ni pale aliposema maisha bora kwa kila Mtanzania. Nilijua kutokana na rekodi yake hataweza lakini nikabishiwa, nikabezwa, nikaambiwa JK we acha tu...



maisha bora kwa kila mtanzania haikumaanisha watanzania wote ila ' kila mtanzania' anafahamika na mwenyekiti wa tanzania
 
Mimi nafikiri hotuba zake zote ni utumbo tu; hakuna yenye kukumbukwa.
 
..the most embarassing statement ni pale aliposema kuwa serikali ikiruhusu wanafunzi waliojifungua kurudi shuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa madarasani.

NB:

..naomba mwenye ile speech atuletee hapa jamii forums.

Noooo! Kweli alisema haya? Nadhani unamsingizia, Mkuu!

Amandla......
 
..hii hapa chini aliitoa ktk mkutano wa UWT-CCM uliofanyika Dodoma.

KINA MAMA ENDELEENI KUZAA WASICHANA WAZURI KWANI KATIKA MIAKA HII MIWILI HATA KWENYE MASHINDANO YA UREMBO DUNIANI TUMETAMBA.

..tena hii anaelekea iliandikiwa ktk hotuba yake.

Pleeease JokaKuu! Na wakina mama wakapiga makofi na vigelegele? Haiwezekani.

Amandla......

Nimerudi tena kusoma. Sina la kusema.
 
This is sad , mimi bado sitaki SITAKI KUAMINI kama kweli alisema hayo maneno.
 
Mr. President suck the publicist

The writers and some of your advisors

ps. timing is every thing
 

...kwa hili la DECI hatupo pamoja. Inashangaza mpaka leo huamini kuwa DECi ni utapeli. Hizo fedha za DECI zilikuwa zinamultipl vipi, kwa miujiza?
 
Huyu alishindwa kabla hajaanza hata huo urais! Ujasiri ni pale mtu unapoweza kujigundua kuwa kuna mambo mengine huwezi, inawezekana kuna mambo anayaweza kwa ufasaha kabisa, lakini hili la Urais angesema jamani inatosha, mnisamehe!
 
Please produce as many videos of the speech for sale! Itapata market kubwaaaa!
 
Ndugu yangu hata nchi nipewe mimi au wewe au yule, kamwe haiwezekani kuleta maisha bora kwa KILA mtanzania.
Sasa kwa nini walitudanganya wakati wa kampeni?
Waje basi watuombe msamaha kwa kutudanganya halafu wasubiri hukumu yetu - tuwaambie msamaha umekubaliwa au umekataliwa basi ondokeni madarakani kwani mmeyapata kwa njia ya ghilba!
 
..the most embarassing statement ni pale aliposema kuwa serikali ikiruhusu wanafunzi waliojifungua kurudi shuleni matiti yao yatakuwa yakichirizika maziwa madarasani.

NB:

..naomba mwenye ile speech atuletee hapa jamii forums.

Duh hiyo imepitilizza kweli kweli..!
 
nafikilia Prezident kwenye kampeni zijazo atatumia maneno gani -Nguvu mpya kasi mpya na ari mpya ni zero katika miaka hii 5
sijui miaka mitano ijayo itakuwa ..?
 
Kikwete....kikwete....usanii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwangu his most embarassing speech ni pale aliposema maisha bora kwa kila Mtanzania. Nilijua kutokana na rekodi yake hataweza lakini nikabishiwa, nikabezwa, nikaambiwa JK we acha tu...

Hii nafikiri bwana mkubwa alimaanisha kuwa "maisha bora kwa kila mwanamtandao" tena kwa njia ambazo si halali.
 
Ninaongezea hiyo ya kusema kuwa mapungufu ya umeme ni mtihani toka kwa mungu

topic iko hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…