Kikwete yuko Vietnam


my president is 65 years old boy ndio tatizo la kuchagua kijana kama huyu kuwa rais.
 

Tukipata marais watatu kama jk tutakwisha kabisa, yani Nyerere angekuwa kama jk sijue ingekuwaje, nadhani tungekuwa kwenye human zoo someone in the middle of nowhere.
 

huyu rais wetu alianza mchezo huu mapema sana wa kutembelea kila kona ya nchi na watu walipohoji toka awamu ya kwanza wakajibiwa Rais wetu anatafuta misaada.

na safari hizi hazijawahi kukoma na zaidi zinaongezeka kila siku.

hata wewe unanipa picha ya aina ya watu waliopo ambao wanakatisha tamaa watanzania kama nchi ina watu wenye fikra za kulisaidia taifa.

sekta muhimu ni viwanda. safari za Rais wetu sasa zinakaribia kuwa miaka miwili katika miaka 10.

kwa wingi wa safari zote hizo ni kiwanda gani ambacho mpaka sasa kimepatikana kwa mamia ya safari zilizopita?

kama kasafiri ndani ya miaka 9 na hajapata wawekezaji wa maana je huu mwaka mmoja una matumaini kushinda miaka 9 aliyopoteza?

NIMESEMA HAKUNA NCHI ILIYOWAHI KUENDELEA KWA MISAADA.

umetaja nchi za Asia mashariki.

unaweza kunimbia China na India zilipata msaada toka kwa nchi gani ?

Rais Kenyatta alipoingia tu madarakani alipiga marufuku misaada ya nje katika serikali yake na asasi zote za kiraia.

lakini kasi yao ya maendeleo kwa muda mfupi ni yakutisha.

hata mtangulizi wa Kenyatta ambaye ni Mwai Kibaki sidhani kama alifikisha hata safari 20 kwenda ughaibuni ndani ya miaka 10 ya uongozi wake.

na juzi taifa lao limekuwa la uchumi wa kati duniani.

ndio maana wengine wamefikia hatua ya kumuita huyu rais ni RAIS MTALII
 

Wewe pia ni zuzu kama Ritz1, tena wewe ni zuzu kabisa
 
hawa jamaa wanasema wanamuenzi Nyerere,Nyerere sera yake ni ujamaaa na kujitegemea wao ni KUTEMBEA NA KUOMBA

kumuenzi nyerere ni kwa ajili ya kuomba kula tu kutoka kwa watz wazuzu, ina wakati wake
 
Hewe punguani unabisha au unapinga tu bila kujua, Mbowe alikwenda Oman yeye na Lukuvi pamoja na Anna Makinda, Mbowe alitoa pesa yake mfukoni? wewe utakuwa Chadema-Kata.
 
Pesa zawalalahoi zinaliwa ovyo

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
huyu jamaa kiukweli kazidi utembezi yaan km mtt wa mtaani asiye na kwao!!! Msitetee ujinga kimsingi jamaa kazidi utembezi.
 
Dah! viongozi wetu wanakula bata mpaka kuku wanaona gere........kudadadeki.
 
Daaah Wabongoooo, hii jitihada tunayoifanya ya kukesha mitandaoni na kupondeana ingekuwa ni shughuli ya uzalishaji mali ,basi tungekuwa mbali sanaa.
 
Hivi katika nchi za kiafrika hakuna wawekezaji? Mbona sijawahi kusikia katembelea huko??
 
Kwa hivyo Great Thinker unashauri Rais awe anabaki humu humu nchini ?? Halafu Marais wa hizo nchi za Ulaya, Marekani na Asia ndiyo waje wamtembeleee ? Wafanyabiashara na Wawekezaji waje kumtembelea ? Hiyo nayo SHULE !
tujadili gharama na tija za safari hizo
 
Nahisi dr alienda kumwombe ajira vasco da gama ili awe dereva wa Apolo maana tumechoka kuona kodi zetu zinamalizwa na ki gulf stream,kindege hakitulii kila dakika unakiona kinakatiza kipawa utafikiri daladala bwana

Urais si kazi ya kukaa ofisini.

Wenye macho manufaa yake tunayaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…