Typical mkwere! He has never been Serious on anything! Strange he ever became president!
kikwete ni raisi aliyeshindwa , haache kujiaibisha kwa kutoa kauli za kushindwa. Yeye alikuwa mfanya biashara na maswaiba wake wote ni wafanya biashara utawezaje kukusanya kodi kwa marafiki zako. Magufuri ni mtu wa kazi hana urafiki na mtu katika kazi
Are you objective?Naomba uende kabisa hospitali pengine unaumwa! au kula limao!
Rais mstaafu amenena na ni mzalendo wa kweli...
Hawezi kukaa kimya wakati hajui kesho linatumbuliwa jipu la sehemu ipi. Mwili umetapakaa majipu kila kona, umemskia mwenyewe akiwataja mwanae na mkewe.Hivi Kikwete kwani lazima uongee kwa sasa? Busara kwako ni kukaa kimya!
Watanzania bwaana, huyo huyo jk mlimchagua kwa mbwembwe kama huyu magufuli ni muda mtakuja kula matapishi yenu
Naomba uende kabisa hospitali pengine unaumwa! au kula limao!
Rais mstaafu amenena na ni mzalendo wa kweli...
Unaweza kusema hukubaliani na maoni take,lakini una haki ya kumtukana mzee WA watu - Uhuru WA kuandika chochote kinacho kujia kichwani usipitilize mipaka,waheshimu watu walio kuzidi umri,usijifanye mjanja ukajidanganya kwamba uwezi kufatuliwa na kutiwa mbaroni kwa kukashifu watu. ...been warned.Kalale mzee,hufai mzee,sijui umekula maharage ya wapi wewe.ni naaaaani aliyekuroga