<p>Naomba kikwete ujibu swali linaloulizwa na mwanafunzi ktk tangazo la polisi forum, mwanafunzi anamuuliza mwalimu baada ya uhodari wa mwalimu wa kutaka kuonyesha jinsi nchi yetu Tanzania ilivyobarikiwa madini ya kila aina, Mwalimu anaanza kwa kusema: </p>
<p> </p>
<p> </p>
<p> </p>
<p> kanda za ziwa mikoa ya mwanza shinyanga na mara kuna madini ya dhahabu, ukija shinyanga kuna madini ya alimas, ukienda kanda ya kaskazini, mkoa wa Arusha kuna madini ya Tanzanite ambayo yanapatikana Tanzania peke yake, mwanafunzi ananyanyua mkono na kumuuliza mwalimu; mwalimu kama ndiyo hivyo kwa nini sisi ni masikini? kikwete ukiweza kumjibu mwanafunzi yule nakupa kura yangu</p>
<p> </p>
<p> </p>
<p> </p>
<p> </p>
<p> </p>
<p>source TV & Radio stations from Tz</p>