Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
"Wakataeni, hata kama ni wakubwa kiasi gani katika uongozi wa siasa ama wa kijamii. Ni watu hawana maana na hatari wa ustawi wa Taifa letu," alisisitiza.
Hakuna atakayemsikiliza JK tena nchi hii kwa sababu yeye ni Raisi na inabidi atueleze mchango wake kwenye malalamiko yake kwanza kabla ya kutuhubiria........Sisi tunakwenda kwenye uchaguzi kumkataa yeye na timu yake yote ya kifisadi na tunasimika timu mpya yenye unyenyekevu kwetu wapigakura..................CHAGUA CHADEMA CHAGUA DR. SLAAAAAAAAAAAAAA