CCM chini ya Magufuli yafananishwa na Real Madrid: Yaongoza Afrika kwa usajili wa kufuru wa Galacticos

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Real Madrid chini ya Bilionea na Mwenyekiti wao, Florentina Peres ilileta mapinduzi makubwa sana ya Soko la usajili wa wachezaji ghali duniani kuanzia Msimu wa 2000 - 2007. Timu hiyo ilitaka mafanikio ya haraka baada ya kuwa imechukua Champions League mwaka 1998 baada ya kusubiri zaidi ya miaka 32. Hivyo, haikutaka kusubiri tena ndipo ikaanza kununua Wachezaji wa bei mbaya: Luis Figo, Zidane, Ronaldo na Beckham.
. IMG_6241.jpg

Katika kumbukumbu za kihistoria, haijawahi kutokea wakati wa amani kwa Chama kilicho madarakani kufanikiwa kupata wanachama wengi wenye ushawishi kutoka kwenye vyama vya upinzani. Hali hii ya mshangao imetokea Tanzania katika Zama za CCM ya Dk. John Pombe Magufuli, kiongozi aliyetokea kuteka hisia za Waafrika wengi ambao wamekuwa wakimuona kama mfano mpya wa kuigwa barani Afrika (refer to Profesa Patrick Lumumba).
Tangu ichaguliwe tena mwaka 2015, CCM mpya imefanikiwa kuwasajili wanasiasa wengi maarufu nchini, kuanzia Wabunge, Madiwani na Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Baadhi ya Vigogo kutoka Upinzani, ni:
  • Prof. Kitila Mkumbo (Mshauri Mkuu wa ACT)
  • Samson Mwigamba (M/kiti Kamati ya Uchaguzi ACT)
  • Albert Msando (Mwanasheria wa ACT)
  • Anna Mghwira (M/kiti wa ACT na Mgombea urais 2015)
  • David Kafulila (aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini - NCCR Mageuzi)
  • Patrobas Katambi (aliyekuwa M/kiti BAVICHA Taifa)
  • Mwita Waitara (Mbunge wa Ukonga - CHADEMA)
  • Godwin Mollel (Mbunge wa Siha - CHADEMA)
  • Julius Mtatiro (M/kitu was Kamati ya Uongozi ya CUF - Maalim)
  • Julius Kalanga (Mbunge wa Monduli - CHADEMA)
  • James Lembeli (aliyekuwa Mbunge wa Kahama - CCM)
  • Maulid Mtulia (Mbunge wa Kinondoni - CUF).
  • Zuberi Kuchauka (Mbunge wa Liwale - CUF)
Vilevile, kuna orodha ndefu ya madiwani waliorejea CCM. Usajili huu wa Magufuli ni mkubwa sana kuwahi kutokea haya katika kipindi hiki kigumu cha ujasili wa Galacticos.
Hongera Magufuli na Polepole kwa kufanikisha usajili wa majina makubwa na muhimu kwa ajili ya kupambana katika ligi ya siasa.
Naona Galacticos ya CCM ikivifyeka Vyama vingine come 2020 Election.
 
Mpiga kigeregere hahaha, mtaishia kusifia vyeo wanapewa wapinzani wanaohamia😂😂😂😂😂😂🎻🎻🎹🎹🎺🎺
 
waasisi wa chama wasingekubali kuona haya yanayoendelea, chama kinazd kupoteza hadhi, haya mambo yangefanywa na ACT au CHAUMA
 
Mtaandika yoteeee mtakayo mwisho wa siku inabidi hao viongozi wenu wajitafakari.. inatia aibu nchi kuona wapinzani haswa wenye vyeo wanawakimbia viongozi wao uchwara..

Ila ni furaha sana kwetu wengi kuona wamependa kasi ya awamu hii

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeeee
 
Real Madrid chini ya Bilionea na Mwenyekiti wao, Florentina Peres ilileta mapinduzi makubwa sana ya Soko la usajili wa wachezaji ghali duniani kuanzia Msimu wa 2000 - 2007. Timu hiyo ilitaka mafanikio ya haraka baada ya kuwa imechukua Champions League mwaka 1998 baada ya kusubiri zaidi ya miaka 32. Hivyo, haikutaka kusubiri tena ndipo ikaanza kununua Wachezaji wa bei mbaya: Luis Figo, Zidane, Ronaldo na Beckham.
.View attachment 835116

Katika kumbukumbu za kihistoria, haijawahi kutokea wakati wa amani kwa Chama kilicho madarakani kufanikiwa kupata wanachama wengi wenye ushawishi kutoka kwenye vyama vya upinzani. Hali hii ya mshangao imetokea Tanzania katika Zama za CCM ya Dk. John Pombe Magufuli, kiongozi aliyetokea kuteka hisia za Waafrika wengi ambao wamekuwa wakimuona kama mfano mpya wa kuigwa barani Afrika (refer to Profesa Patrick Lumumba).
Tangu ichaguliwe tena mwaka 2015, CCM mpya imefanikiwa kuwasajili wanasiasa wengi maarufu nchini, kuanzia Wabunge, Madiwani na Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Baadhi ya Vigogo kutoka Upinzani, ni:
  • Prof. Kitila Mkumbo (Mshauri Mkuu wa ACT)
  • Samson Mwigamba (M/kiti Kamati ya Uchaguzi ACT)
  • Albert Msando (Mwanasheria wa ACT)
  • Anna Mghwira (M/kiti wa ACT na Mgombea urais 2015)
  • David Kafulila (aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini - NCCR Mageuzi)
  • Patrobas Katambi (aliyekuwa M/kiti BAVICHA Taifa)
  • Mwita Waitara (Mbunge wa Ukonga - CHADEMA)
  • Godwin Mollel (Mbunge wa Siha - CHADEMA)
  • Julius Mtatiro (M/kitu was Kamati ya Uongozi ya CUF - Maalim)
  • Julius Kalanga (Mbunge wa Monduli - CHADEMA)
  • James Lembeli (aliyekuwa Mbunge wa Kahama - CCM)
  • Maulid Mtulia (Mbunge wa Kinondoni - CUF).
  • Zuberi Kuchauka (Mbunge wa Liwale - CUF)
Vilevile, kuna orodha ndefu ya madiwani waliorejea CCM. Usajili huu wa Magufuli ni mkubwa sana kuwahi kutokea haya katika kipindi hiki kigumu cha ujasili wa Galacticos.
Hongera Magufuli na Polepole kwa kufanikisha usajili wa majina makubwa na muhimu kwa ajili ya kupambana katika ligi ya siasa.
Naona Galacticos ya CCM ikivifyeka Vyama vingine come 2020 Election.
Ila mkuu ulichosahau Ni kuweka tarakimu za usajili kwa kila mchezaji Kama ilivyo desturi ya Real Madrid.....hakuna mchezaji aliyesajiliwa kwa maneno tu mkuu Bali tarakimu zimetumika....
 
Real Madrid chini ya Bilionea na Mwenyekiti wao, Florentina Peres ilileta mapinduzi makubwa sana ya Soko la usajili wa wachezaji ghali duniani kuanzia Msimu wa 2000 - 2007. Timu hiyo ilitaka mafanikio ya haraka baada ya kuwa imechukua Champions League mwaka 1998 baada ya kusubiri zaidi ya miaka 32. Hivyo, haikutaka kusubiri tena ndipo ikaanza kununua Wachezaji wa bei mbaya: Luis Figo, Zidane, Ronaldo na Beckham.
.View attachment 835116

Katika kumbukumbu za kihistoria, haijawahi kutokea wakati wa amani kwa Chama kilicho madarakani kufanikiwa kupata wanachama wengi wenye ushawishi kutoka kwenye vyama vya upinzani. Hali hii ya mshangao imetokea Tanzania katika Zama za CCM ya Dk. John Pombe Magufuli, kiongozi aliyetokea kuteka hisia za Waafrika wengi ambao wamekuwa wakimuona kama mfano mpya wa kuigwa barani Afrika (refer to Profesa Patrick Lumumba).
Tangu ichaguliwe tena mwaka 2015, CCM mpya imefanikiwa kuwasajili wanasiasa wengi maarufu nchini, kuanzia Wabunge, Madiwani na Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Baadhi ya Vigogo kutoka Upinzani, ni:
  • Prof. Kitila Mkumbo (Mshauri Mkuu wa ACT)
  • Samson Mwigamba (M/kiti Kamati ya Uchaguzi ACT)
  • Albert Msando (Mwanasheria wa ACT)
  • Anna Mghwira (M/kiti wa ACT na Mgombea urais 2015)
  • David Kafulila (aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini - NCCR Mageuzi)
  • Patrobas Katambi (aliyekuwa M/kiti BAVICHA Taifa)
  • Mwita Waitara (Mbunge wa Ukonga - CHADEMA)
  • Godwin Mollel (Mbunge wa Siha - CHADEMA)
  • Julius Mtatiro (M/kitu was Kamati ya Uongozi ya CUF - Maalim)
  • Julius Kalanga (Mbunge wa Monduli - CHADEMA)
  • James Lembeli (aliyekuwa Mbunge wa Kahama - CCM)
  • Maulid Mtulia (Mbunge wa Kinondoni - CUF).
  • Zuberi Kuchauka (Mbunge wa Liwale - CUF)
Vilevile, kuna orodha ndefu ya madiwani waliorejea CCM. Usajili huu wa Magufuli ni mkubwa sana kuwahi kutokea haya katika kipindi hiki kigumu cha ujasili wa Galacticos.
Hongera Magufuli na Polepole kwa kufanikisha usajili wa majina makubwa na muhimu kwa ajili ya kupambana katika ligi ya siasa.
Naona Galacticos ya CCM ikivifyeka Vyama vingine come 2020 Election.
hopeful hii imezalisha ajira mpya nyingi.
 
Unless kama mtu yupo kwenye system na anapenda manufaa binafsi kwenye system husika; ndipo hatimae anaweza kufurahia yanayoendelea!!

Mwananchi wa kawaida anayeweza kushirikisha ubongo wake sawa sawa katu hawezi kufurahia kuona nchi inaelekea kwenye "mfumo wa chama kimoja"... mfumo usiotoa mwanya wa serikali kuhojiwa!!

Ni nani zaidi kati ya Magufuli na Nyerere??!!

Pamoja na ukali wake wote

Pamoja na kuchukia kwake rushwa kote

Pamoja na brain kubwa aliyokuwa nayo kumlinganisha na Magufuli, bado Mwalimu Nyerere aliiacha Tanzania ikiwa hoi bin taabani!!!

Ilikuwa hoi kwa sababu hapakuwa na opposing force ya kuhoji kilichokuwa kinaendelea serikalini!!!
 
mmesajili magalasa mbona Messi(Lissu),Kane(Sugu)Pogba(Lema)Mbape(Nassari),Dyabala(Mnyika),Hazard(Mbowe) nk Ronaldo(Lowasa kasepa)..kweli unasifia usajili wachezaji wasio na majina utauza kweli jezi????
 
Ila mkuu ulichosahau Ni kuweka tarakimu za usajili kwa kila mchezaji Kama ilivyo desturi ya Real Madrid.....hakuna mchezaji aliyesajiliwa kwa maneno tu mkuu Bali tarakimu zimetumika....
Shida yenu mnadhani usajili hadi utumie fedha. Timu nyingi kubwa duniani zimekuwa zikisajili wachezaji wengi wazuri kwa gharama za kawaida tu kutokana na zenyewe kuvutiwa na ubora wa timu hizo.
 
Mtaandika yoteeee mtakayo mwisho wa siku inabidi hao viongozi wenu wajitafakari.. inatia aibu nchi kuona wapinzani haswa wenye vyeo wanawakimbia viongozi wao uchwara..

Ila ni furaha sana kwetu wengi kuona wamependa kasi ya awamu hii

Hapa kazi tu

Magufuli oyeeeeeee
Mimi nimefurahi sana kwa ccm kuendelea kuwaamini watu wenye akili kubwa toka upinzani,

Napenda siku wamsajili Tundu lissu awe mwanasheria mkuu wa serikali

Au wamsajili mdee

Ccm wengi akili ndogo sana isipokuwa labda Nape Na Bashe
 
Mie najiuliza, hizi fedha za malipo ya kuwalipa hawa makuhadi wanazipata wapi ccm? zinaidhinishwa na nani? zinakaguliwaje?
 
Back
Top Bottom