Kikwete sio wewe uliowaleta real madrid

Kikwete sio wewe uliowaleta real madrid

Kwahiyo? Andaeni maandamano ya kupinga ujio wa real madrid!
 
mi sishangai nchi ilipo sasa kama chama tawala ndo kinatekeleza ahadi zake kwa staili hii, yaani wanaahidi kuwaleta madrid ndo wanakuja hawa! hata mkiahidiwa fly over watajenga daraja
 
ngoja mazuzu waje hapa kukupinga! Wenzetu huwa wana-promote utalii kwa kutumia timu halisi wakati wa pre-season, ila sisi tunafanyiwa uzuzu usio na maelezo! Kikwete, you are the worst that could ever happen to our beloved country.

cc: msalani
 
Last edited by a moderator:
ni kawaida ya sharobalo hyu kjcf hku tnateseka na mfmko wa bei nchn
 
Ngoja mazuzu waje hapa kukupinga! Wenzetu huwa wana-promote utalii kwa kutumia timu halisi wakati wa pre-season, ila sisi tunafanyiwa uzuzu usio na maelezo! Kikwete, you are the worst that could ever happen to our beloved country.
Acha chuki za Kisenge.e
 
Malinzi raisi wa tff si yupo humu?naomba aje akanushe kma ni uongo, siwez kua na chuki kwa rais wangu kias cha kutunga uongo kias hicho.
 
mi sishangai nchi ilipo sasa kama chama tawala ndo kinatekeleza ahadi zake kwa staili hii, yaani wanaahidi kuwaleta madrid ndo wanakuja hawa! hata mkiahidiwa fly over watajenga daraja

Umenena mkuuu
 
Wakaamua Kua wanamtaja taja Luis Figo ili watanzania waridhike kua ni Real Madrid

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Sinachuki na kikwete hata kidogo,we ndo utaonekana mjinga kukataa mambo usiyojua,nenda tff ama mtafute mtu yoyote wa tff akuelezee ishu imeendaje.mi sio mjinga na wala sina chuki na raisi.

Eti nini? Wewe sio mjinga? Sio kweli! Wewe ni mjinga sana tu
 
kwikwikwi hyu maginga anakuaambia hakuna rais kama
vaaco da gama.....kwiwikwi

kila zama ina wajinga wake!! hata idd A mini alikuwa na wapambe wajinga wake, HITLER alikuwa nao wake na DHAIFU anao wa kwake ndio akina chacha, vibonde wauza unga and the like usiwashangae after 2015 watakueleza ukweli kwanini waliamua kudanganya nafsi zao.
 
Wakuu nadhani nyote mnakumbuka kua kwenye kampeni za uraisi Kikwete aliahidi kuwaleta real madrid, ni kweli veteran wa real madrid wamekuja, ila kinachonishangaza ni rais Kikwete kujivisha hizi sifa kua yeye ndo kawaleta, huu ni uongo wa mchana, real madrid wameletwa na mwarabu mwenye supermarket za tsn na wazo lilikuja baada ya jamaa kukutana na Luis Figo Dubai wala wazo halikutokana na ahadi za raisi. Ombi: Kikwete na vyombo vya habari acheni kupotosha watu.
Amewaleta kwa gharama gani> na yeye amefaidika nini? chanzo cha habari yako?
 
Back
Top Bottom