‘Kikwete’s remarks on FDLR shocking’

Hapa mambo ya EPA weka kando. Unataka kupotosha mada. Hapa tunataka rwanda ifanye mazungumzo na wapinzani wake, sio kila mtu kumlabel genocider kuepa kuleta demokrasia na kumaliza utawala wa wachache rwanda.
 
On what grounds do they demand an apology? President Kikwete has his faults as a leader but on this case he is right!

The only way for Rwanda to move forward is negotiation otherwise hate will continue between the two tribes.

kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa
 

rais wenu mropokaji akome
 
kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa

Kutowaambia US wanegotiate na Al Qaed hakufanyi kauli yake kuwa na makosa...! Kila kabila Rwanda lina version yake ya genocide...negotiation ikifanyika itamaliza, chuki na kuongeza chances za amani ya kudumu.
 

Mbona walishadokeza kuwa ana asili, bwana Tanzania ina mambo mengi sana ndugu yangu yaani ni yakufunga na kuombea
 
Dialogue ndio mpango mzima katika upatikanaji wa AMANI katika nchi hizi za mziwa makuu.... Mkuu wa Kaya amezungumza bila kumung'unya maneno!

The President should walk the talk. He needs to correlate what he says and what he does.

Kama anaamini kuwa dialogue ndiyo mpango mzima, kwa nini then alikubali kupeleka majeshi Congo?

Sioni logic ya kuishauri Rwanda wajadiliane na FDLR rebels wakati tumepeleka majeshi Congo kupigana na M23.

Tuna wanajeshi Congo. Kuna tuhuma kuwa Rwanda wanawasaidia M23.

Halafu hapo hapo tunawataka Rwanda wajadiliane na FDLR.

Hii siyo kuweka wanajeshi wetu kwenye risk?
 

Kabila would say the same thing - that M23 are terrorists. And the gospel according to Paul Kagame is that Kabila should talk to M23. Now, why 'St' Kagame thinks its ok for Kabila to talk to terrorists (M23) but not him -Kagame- with his band of 'terrosists', FDRL?
 
Tukirudi kwao huko Rwanda, what was the point of the gacaca system?

.
Wewe kabla ya kuja hapa and criticize hiyo gacaca,nakushauri take time and educate yoself kabla ya kuandika kitu ambacho huna idea nacho
 
Wewe kabla ya kuja hapa and criticize hiyo gacaca,nakushauri take time and educate yoself kabla ya kuandika kitu ambacho huna idea nacho

Wapi nime criticize gacaca? Unaweza kunionyesha tafadhali?
 
Tell US wakae nao waongee na Al Qaida,Kagame hawezi kuongea na FDRL dawa yao ni kuwamaliza tuu kama walivyomaliza wenzao 94 na why negotiate na genocidals ambao their only goal ni kumaliza one part of population,na usichanganye FDRL na M23 ni vitu tofauti kabisa
 
You did in one of your backpost(sina muda wa kuitafuta)...

Kama huna muda wa kuitafuta huna haki ya kusema nime criticize gacaca.

Unaweza kufanya kati ya matatu yafuatayo.

1. Kututafutia hiyo post na kuiweka hapa.
2. Kuomba msamaha kwamba umepitiwa na kuchanganya madawa.
3.Kubakia shingongumu na kukubali kila nitakapokuona nikuite "mzushi" mpaka utakaponipatia hiyo post au kuomba msamaha.
 

Kwanini Kagame aseme (tena kwa kurudia rudia) kuwa Kabila aongee na waasi M23, lakini anapoambiwa naye (Kagame) aongee na waasi wake, FDRL anafoka? Huu utani wa kusema Kikwete aombe msamaha kwa mambo ambayo yameshaongelewa na taasisi za kimataifa (i.e UN, EU) unatoka wapi?

Let me say this, Kagame amefanya mambo mengi mazuri kwa nchi yake ya Rwanda na kwa hakika kwa Watutsi wenzie. Lakini kuna very dark side ya huyu bwana ambayo italeta sokomoko kama si balaa kwa Rwanda na ukanda wote in the future.

Kwa sasa Rwanda wanaweza kucheza 'kombolela' lakini kadri siku zinavyozidi kusogea ndivyo tatizo linazidi kuwa kubwa. FDRL may be a big problem to Rwanda, today, but they are also part of the solution if that country is to realise long-lasting peace. Kama vipi Kagame awafukie FDRL wote, can he do that?
 
Watu wasio jua amani sasa wanataka kutufundisha maana ya amani!?..........kwa kweli wameonyesha kutokukomaa......waone mifano kule Zimbabwe, Africa Kusini, Kenya nk....... walivyokaa meza moja kuondoa tofauti zao kwa manufaa ya mataifa yao......kuzungumza na kuelewana na wapinzani haiondoi mantiki ya kutoshtakiwa kwa walio na makosa endapo ushahidi upo......
 

tanzania hakuna amani kuna uwoga na upumbafu
 
RAIS yupo sahihi kabisa, mbona wakidundana wanakimbilia Kigoma na Kagera, kama ni mambo yao basi wauane huko huko. Hayo mengine ulosema hasa kwenye RED yananipelekea nisiendelee kubishana.

jk anaropoka na wamemchana vibaya sana....kaonekana empty headed kabisa...obama anakuja si amshauri akae meza moja na al queda
 

I agree kwamba hamna lisilowezekana, lakini when unaongea na rwandans on those issues linked to genocide, sioni ni kwa jinsi gani wanaweza kaa na hao jamaa. Kumbuka mpaka hapo walipo fikia wamekaa sana na kuvumiliana sana ndo maana wameweza ishi pamoja. It is the highest level ya uvumiliaji maana Tutsi wangeamua ku-revenge ingekuwa balaa kwani they were badly affected and now they run the show. Wanachosema wao ni those guys in DRC wa-bow down na kufuata utaratibu na sio Rwanda i-bow down to them. Afterall, wako DRC na wanaleta shida huko DRC so rwanda wanaweza sema it non of their bness.
 

That is your side school of thought....
 
kaa kimya kama hujui vitu..mbona hawaambii marekani wakae meza moja na al queda....mnakuwa na rais anaropoka ropoka afu mnatetea mautumbo hapa

Au mbona hawamwambii Mseven akae na Kony (LRA) meza moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…