Kikwete: Nimelipa deni la taifa la 1958

Kikwete: Nimelipa deni la taifa la 1958

Sidhani kama hoja yako ina mashiko. Mikopo ya serikali ipo wazi kama ile ya ujenzi wa bomba la gesi. Tatizo Watanzania tunajitia vipofu

Mkuu 1958?deni la Tanganyika?linalipwa na Jamhuri...
 
Rais Kikwete amesema serikali imelipa deni lilikopwa mwaka 1958 ambalo lilitumika kuijenga Morogoro Road.

Amesisitiza hakuna nongwa yoyote kwa madeni anayoacha kuja kulipwa na mrithi wake.

Amemalizia kuwa duniani kote ili nchi iendelee ni lazima ikope kama ilivyo kwa wafanyabiashara ili kukua lazima utakopa.

Chanzo: ITV habari

Tatizo sio kukopa....tatizo ni Je kila mkopo wa nchi unafanya kusudio la mkopo na vipi kuhusu makubaliano ya riba? Unajua kiasi gani pasu lake binafsi katika kila mkopo wa nchi na unajua makubaliano ya marejesho? Kuna msemo wanyarwanda wanatumia #HelpUsToHelpOurSelves ila kwetu Bongo ni #HelpUsWeAreBeggers
 
Duh! Hapa 2shapigwa changa la macho ,kama na mkolon alkopa, awam 3 zote azkufanikiwa kulipa alafu awamu ya 4 ambayo ndo imekuza den mara dufu ,inasema imelipa nihatari .
 
Sidhani kama hoja yako ina mashiko. Mikopo ya serikali ipo wazi kama ile ya ujenzi wa bomba la gesi. Tatizo Watanzania tunajitia vipofu

Kweli mikopo iko wazi na kila mtz anajua. Na kila mtz anajua anadaiwa kias gani
 
Rais Kikwete amesema serikali imelipa deni lilikopwa mwaka 1958 ambalo lilitumika kuijenga Morogoro Road.

Amesisitiza hakuna nongwa yoyote kwa madeni anayoacha kuja kulipwa na mrithi wake.

Amemalizia kuwa duniani kote ili nchi iendelee ni lazima ikope kama ilivyo kwa wafanyabiashara ili kukua lazima utakopa.

Chanzo: ITV habari

Sina tatizo na hilo
 
Rais Kikwete amesema serikali imelipa deni lilikopwa mwaka 1958 ambalo lilitumika kuijenga Morogoro Road.

Amesisitiza hakuna nongwa yoyote kwa madeni anayoacha kuja kulipwa na mrithi wake.

Amemalizia kuwa duniani kote ili nchi iendelee ni lazima ikope kama ilivyo kwa wafanyabiashara ili kukua lazima utakopa.

Chanzo: ITV habari
matatizo tuliokuwa nao waafrika hatuwezi kusimamia haki zetu, muingereza ametawala kimabavu na kupora Mali afrika halafu tukaacha kudai fidia, halafu deni alilokopa bila ya ridhaa ya waafrika kwa maslahi yake sisi tulipe?mwalimu nyerere alimshauri hata deni ya mabutu Rais kabila asilipe, Leo hii ya mkoloni inatuhusu nini?kama tunarithi deni basi na faida ya Mali walizo pora waturudishie.
 
Alilipa deni la taifa lipi?British East Africa,Tanganyika,au Tanzania?.......(1958???????)
 
kopa hlf tuone maendeleo yanayoendana na mkono. Deni la taifa limekuwa maradufu maendeleo hakuna hlf anakuja na kusema nchi zote zinakopa. Hoja mbovu. Utawala wake umeshindwa kabsa watz walikuwa na matumaini makubwa. Aende zake tuu. Hana jpya

utawala huu umeawaangusha watanzania ndio maana magufuli katika hotuba zake aliamua kusema sitawaangusha kwakuwa anajua ccm na viongozi wake na yeye akiwemo wamewaangusha watanzania. Kwahiyo akaamua kujiondoa kwenye lawama kwa kusema sitawaangusha.
 
Back
Top Bottom