Serikali ilishasema anayejua wauza unga na ushahidi apeleke hayo majina yatangazwe.
Kweli madawa ya kulevya ni mtandao mkubwa sana na una watu wazito sana serikalini ndio sababu wakubwa wanakuwa na kigugumizi linapokuja suala la kukemea wauza na watumia madawa ya kulevya. Si ajabu mtumiaji anapozidiwa na akawa na ka-umaarufu atasaidiwa na IKULU au viongozi wakuu ili asiseme saana.
Mimi ninapita lkn ninashangaa swala la madawa ya kulevya likisemwa hapa JF hwa wakina HAMY-D, Lukosi na RIT.. hawachangii! Kuna mtu anajua sababu za kutochangia jamani?
ushahidi muhimu sana na si kukurupuka mtaumbuka
Hivi CHADEMA wapi salama na hii kadhia? Mbona siwaoni vinara was matamko na miongozo wakiibana Serikali kwa ukali na ushujaa ule ule wakati was mijadala mwingine.
Hii vita no ngumu na haijapata mpiganaji hodari au haina maslahi kwako kupigana.
Nimekupata mkuu kumbe mawazo yako hayapo mbali na yako. lkn kama ni hivyo kuna haja ya kusoma zile mods zao?Sababu ni mgongano wa kimaslahi. Hapo walipo wanabana miguu kwa nguvu zote ili huu upepo upite