Sasa mbona akijitokezaga bara barani mnamshangilia kwa nguvu zote kitu kinachoonyeshwa anaungwa mkono. Na siku ya kujiapisha kuwa raisi watanzania mlijaza uwanja hadi ukawa mdogo na mbwembwe kibao, au wale walikuwa mamluki?
Tumzirie mikutano yote na nguvu ya umma iandaliwe kumuondoa ikulu manake ni kama ana i-misuse ikulu yetu..
Tumzirie mikutano yote na nguvu ya umma iandaliwe kumuondoa ikulu manake ni kama ana i-misuse ikulu yetu..