Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Nadhan atakuwa mzee Mgaya bwashee
Ni zamu ya Mkristo
Ni zamu ya Mkristo
Wazanzibar nao watawale awamu mbili,tumewaonea sanaNi zamu ya Mkristo
Next atatuletea Jo🚶Huo ndio ukweli kama hutaki acha sikulazimishi
Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere
Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa
2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema
Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete
Urais Si maandazi mgawane.Wazanzibar nao watawale awamu mbili,tumewaonea sana
Hakuna aliyesema maandazi,Ila kwa ufisadi wa mkapa na wazimu wa magu...yapaswa pawe na zamu,zenji wapate zamu zao,Pana viongozi wenye uwezo na uadilifu kuliko haoUrais Si maandazi mgawane.
Duh...kama ni hivyo kweli ni mwamba!!Huo ndio ukweli kama hutaki acha sikulazimishi
Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere
Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa
2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema
Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete
MwambaDuh...kama ni hivyo kweli ni mwamba!!
Yaani hata kabla hajawahi kuwa Rais...aliamua nani awe Rais, na akawa!
Na baada ya kuachia uRais, badoaliamua nani awe Rai anayemfuatia, na akawa!!
January ni mtoto wa Josephine mkuuNi zamu ya Mkristo
Alilifunga ama hakufunga??Aliwaletea mfungaji wa goli dakika ya 89 ndiyo ukweli
Umesahau 2010 Dr Slaa akamuendesha puta akampiga akaiba kura!Huo ndio ukweli kama hutaki acha sikulazimishi
Mzee Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania baada ya hayati mwalimu Nyerere
Wote tunajua JK ilikuwa awe Rais mwaka ule 1995 lakini CCM kupitia Nyerere ilimuomba amwachie Ben Mkapa
2005 akaingia yeye mwenyewe baada ya kumshinda kwa kura nyingi Freeman Mbowe wa Chadema
Lakini wakati anastaafu 2015 akatuachia Shujaa wa karne hayati Magufuli
Mungu wa mbinguni akubariki sana mzee Kikwete
Umesahau 2010 Dr Slaa akamuendesha puta akampiga akaiba kura!
Huyu anachoweza ni fitna tu siyo siasa! Marginal failure from BA economics undergraduate degree UDSM
Huyo EL unayemsema na R A ndio waliokuwa na Jk kuanzia hiyo 1995 na mpaka 2005 mpaka wakahakikisha jamaa yao ameupata URais !! Kilichowafanya wakosane wanakijua wenyewe sisi hayatuhusu !!Huu ukweli utakuja kupingwa humu na watu wenye chuki na JK.
2015 EL na ujanja wake wote pamoja na swaiba wake RA walinyoosha mikono.
2005 pale Chimwaga BWM na utemi wake wote alitulizwa alipotaka SAS achukue kijiti.
1995 when he was young boy, but brought up and mentored by JKN, he was almost to turn the table. But Mzee JKN with his wisdom cool down the Young boy but he was also scared with that power from saigon boy.
Wataulizwa watu wa dini hiyo kama wanamtambua!January ni mtoto wa Josephine mkuu
Lakini ukumbuke ule mbuyu wa Igunga ndio ulioplay part kubwa ya kumfikisha jamaa kwenye kiti cha Enzi !! Watu wazima wa nyakati zile wanajua hili !!Naendelea
2000 akiwa na Kundi lake la Wanamtandao alisimama na Amani Karume hadi akawa Rais japo alikuwa wa mwisho kwny kura za ndani ya Chama pale kisiwandui
2010 akavunja mwiko kwa kuhakikisha na Wapemba wanapata fursa ya kutoa Rais wa Znz japo Wahafidhina waliapa asilani abadan
2011 akang'oa Mbuyu kutoka Igunga uliokuwa tishio sana kwny Medani ya kiuchumi na kisiasa hapa nchini
2015 akatuletea Mgombea Urais kutoka mfukoni kwake
2015 akazuia harakati za kuzima Mapinduzi matukufu ya Znz ya 1964 kupitia Jemedari na Mtia nia wa Urais 2020 Ndugu Jecha
👇👆Alilifunga ama hakufunga??
Je wa sio na Dini hawana haki?Ni zamu ya Mkristo
Watu wa ufipa, si kazi yenu kupongezwa Wala kushukuru, lakini yawapasa mnapo taka kujenga, muweke record sawa.Umesahau 2010 Dr Slaa akamuendesha puta akampiga akaiba kura!
Huyu anachoweza ni fitna tu siyo siasa! Marginal failure from BA economics undergraduate degree UDSM
Magufuli Rais Bora kabisa wa karne.
Mushumbusi?January ni mtoto wa Josephine mkuu