Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Kweli Rais asiye makini tunaye, kikwete alitumia fedha nyingi sana kualika viongozi na wakuu wamikoa huko ngurudoto, na kutueleza kuwa ni semina elekeza viongozi.
Sina uhakika kama ilifanya kazi, ila ni moja YA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA ambayo inabidi kumfungulia mashitaka pindi anapomaliza uongozi wake.
WAnajamii naomba mawazo yenu kwa mtazamo wa zile semina ambazo sijui hata ziliishia wapi.?
Na ninahisi, hata alikuwa anampa dili jamaa yake Maana inasemekana kuwa ile hoteli ni ya LOWASA.
Sina uhakika kama ilifanya kazi, ila ni moja YA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA ambayo inabidi kumfungulia mashitaka pindi anapomaliza uongozi wake.
WAnajamii naomba mawazo yenu kwa mtazamo wa zile semina ambazo sijui hata ziliishia wapi.?
Na ninahisi, hata alikuwa anampa dili jamaa yake Maana inasemekana kuwa ile hoteli ni ya LOWASA.