La Princesa
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 1,056
- 1,189
Ni protocol ipi iliyoandaa kiti pembeni ya Raisi akae pembeni na Lowassa? - Kumbuka ule usemi wa Lowassa MIMI NA KIKWETE HATUJAKUTANA BARABARANI!
U
bila shaka hii picha itakupa majibu ya maswali uliyo kua nayo kichwani mwako.....yetu macho na masikio kuelekea octoba 2015.
Alafi mi nawashauri Pinda asivae nguo za bahama kama ile amevaa akiwa na Ngowii daa hadi aibuYuko salama kabisa......Pinda vipi alipata suti ya kumtosha kwa Sheria Ngowi?
Poa makonda atajificha wapi?
[/QUOTE]Lowasa yupo mstari wa nyuma wa Kikwete hakukaa pembeni ya kikwete hebu angalieni vizuri amekaaa na mawaziri wakuu wa wastaafu wengine
hivi hapo pinda alikuepo kweli maana mwenye kiti chake anaisogelea pinda Lowasa yuuule membe Lowasa yule anaenda anakaribia Ikulukizuri chajiuza kibaya chajitembeza
Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?
Nilikaa jukwaa kuu leo sherehe inaanza hadi mwisho,hakuna eneo ambalo JK na EL waliweza kusimama karibu hivyo Zaidi ya salamu tu - tena JK alitaka kumpita EL bila kumpa Mkono isipokuwa alifanya kulazimishwa, anyway angalieni hiyo Picha yenu vizuri mbona EL hana miguu?
Protocol walichemsha kama ni PM wapi alikokuwa mtoto wa mkulima au VP?Ni protocol ipi iliyoandaa kiti pembeni ya Raisi akae pembeni na Lowassa? - Kumbuka ule usemi wa Lowassa MIMI NA KIKWETE HATUJAKUTANA BARABARANI!
labda TB JOSHUA
TB JOSHUA yule aliyewatoa watu kafara au ni mwingine ninayemjua!
Ni swali tuu nauliza?.
Jee inawezekana kuwa mmoja kati ya watu hawa, ndiye rais wetu 2015?!.
Sababu nilizieleza kabla.
Japo hakuna kupokezana: Kiukweli, kihaki, kihalali, 2015 ni Zamu ya Zanzibar!.
Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa..
Pasco
...Lowasa atakuwa Rais utabiri wa nabii TB JOSHUA utimie