Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
2011 mwaka wa mabadiliko...
Tunisia
Yemen
Egypt
Tanzania,United Republic of
Tunisia
Yemen
Egypt
Tanzania,United Republic of
Huyu mtu gani anajifanya hajui lolote linaloendelea leo wakati wananchi wana shida lukuki na hana jibu wala msaada wowote. Hakuna mtu anayemsema kwasababu ya dini yake....anasemwa kwasababu ya kukosa leadership and political skills za kuweza kutuongoza watu wake. Na hili hana namna ya kulikwepa kama hatabadilika