Topical,
..hata Muislamu anaweza kuua Waislamu wenzake.
..umesahau mauaji ya Kilombero yaliyotokea wakati wa Mzee Ruksa?
..umesahau virungu vilivyotembezwa Znz wakati wa maandamano ya kupinga kauli ya Sofia Kawawa?
..pia alikuwepo Prof.Lipumba ambaye ni Muislamu na hajahusika na hujuma zozote dhidi ya Waislamu.
..mimi nadhani Mashekhe wanaleta siasa kwenye suala zito ambalo limehusisha kupotea kwa maisha ya Waislamu.
At least JK hajauua waislamu kwa kipindi chote cha madaraka yake..amewapatanisha waislamu wa zanzibar kuko salama sasa, maaskofu wanahangaika ili wauuane wameshindwa..one proof kwamba ni better evil..naamini rais angeukuwa padre slaa zanzibar issue ingekuwa far from peace...hata sasa cdm hawana mpango na grievences za waislamu upo!
Najua kuwa hata musilamu anaweza kuua wasilamu lakini JK ameonyesha tofauti...
Masheikh hawajaacha kudai uchunguzi ufanyike kuhusu swala hilo, wala hawaja acha kudai mahakama ya kadhi awepo mkristo au muislamu na madai hayo yatakuwepo mpaka yatakapotekelezwa iwe ccm au cdm au muislamu au mkristo..hayo madai pia ni hayana time limit it by any means necessary upo!
issue ya uchaguzi ilikuwa who is the better eveil!