Kikwete na Koti la Azam Sembe

Kikwete na Koti la Azam Sembe

...

....Huyu kazuunguka tu!!!

.....tatizo ni neno "sembe"....
 
Sasa nadhani hii ni too much.
Ni kweli rais alikuwa anatembelea kiwanda cha unga cha Bakhresa lakini hadi kuvalishwa koti lililoandikwa Azam Sembe na picha yake kusambazwa kwenye magazeti ni udhalilishaji mbaya kuliko ule wa kubembea kwenye michezo ya watoto Jamaica.
Hivi wapambe wake walishindwa kuwaambia viongozi wa kiwanda kumpa rais koti plain lisilo na maandishi?

Kikwete ana mapungufu yake ila wewe mleta mada nadhani hauna nia njema....alivaa koti limeandikwa azam embe na si sembe........ Lakini pia wafanyakazi wanavaa makoti kulingana na product zinazozalishwa kiwandani...... Mnaiangusha heshima ya jamii forum kwa kukurupuka.......
 
hv jaman mtoa mada ana akili kweli? au bado mzimu wa ndalichako na upumbavu wa kibavicha unamsumbua.?
 
Kikwete ana mapungufu yake ila wewe mleta mada nadhani hauna nia njema....alivaa koti limeandikwa azam embe na si sembe........ Lakini pia wafanyakazi wanavaa makoti kulingana na product zinazozalishwa kiwandani...... Mnaiangusha heshima ya jamii forum kwa kukurupuka.......

Kwa uelewa wangu mdogo pia kwa uzoefu wangu huwa naona marais wanakwepa sana kubeba logo za kampuni za biashara! Sasa huyu wa kwetu imetokeaje? Na hili ndilo lengo hasa la mtoa mada na ndio sababu magazeti mengi yamepambwa na picha ya 'koti la azam sembe'
 
Back
Top Bottom