Kiongozi wa kwanza wa nchi huitwa Rais wa kwanza, au Waziri Kuu wa kwanza!
Na wewe kwanini hutaki kumtambua na kumpa heshima yake kwa kumuita rais. Jakaya kikwete na sio ndugu. Acha roho mbaya isiyo na ustaarabu au wewe sio mtanzania . Unahangaika kutoa heshima kwa marehemu wakati walio hai wanaokutawala huwaheshimu au kwani akimuita mzee nyerere wewe utaongezewa mshahara kibaruani kwako
Vipi wewe ndo unaingia lindo nn...? Mbona ni kama una-stress sana...
mkuu, nauliza ya kwa kwamba ni kwanini Ndugu Mrisho Kikwete, huwa hayuko tayari kumuita Nyerere, "Baba wa Taifa".
Maana leo amezihirisha kabisa kwa kumuita MZEE NYERFRE
we mburula punguza chuki .
Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.
Kiongozi wa kwanza wa nchi huitwa Rais wa kwanza, au Waziri Kuu wa kwanza!
Au kama wewe wanavyokuita kichwa cha mwenda wazimu !
Si kweli!Kiongozi wa kwanza wa nchi yeyote huitwa founding father. Marekani: George Washington. Singapore: Lee Kuan Yew
Ghana: Kwame Nkrumah. Tanzania: Julius Nyerere. Malaysia Tunku Abdul Rahman. etc. etc.
..........majibu yako rahisi sana ndg, naam una jambo moja ama mawili hivi, kwanza unafikiri chini ya kiwango, (hapa sijui ni kwa makusudi ama umeamua ufikiri hivyo) na jambo la pili inawezekana kuna mtu/watu wamefikiri badala yako, kwenye nchi ya kufikirika watu kama wewe huhukumiwa kunyongwa........ mchana mwm nduguHivi Nyerere huyu anayetukuzwa kiasi hichi ni Nusu Mungu? Tuache kuabudi watu, hata mimi siuoni huo ubaba wa taifa mnaoutaka utukuzwe kama dini. akiitwa Mzee Nyerere ndio hasa anastahili.
Kama si kweli, mimi nimetoa mifano ya nchi ambako ukweli huo umetamalaki, wewe unasema hewa tu. Wewe ndiye unayepaswa kujipanga.Si kweli!
Si kila nchi inamwita kiongozi wake wa kwanza founding father!
..kajipange upya halafu rudi jamvini.
G
Pengine hao walioanzisha TAA na AA walikuwa baba wa taifa hilo waliloliongoza. Sijui walikuwa viongozi wa kwanza wa taifa gani? Naomba utusaidie.
Mwislam yeyote anae jitambua hawezi kutumia jina la "BABA" kama cheo kwa Mwalim Nyerere. Cheo cha "BABA" hutumiwa na wakatoriki, ikiwa na maana "mtakatifu. Kwahiyo kwetu Waislam, Nyerere sio mtakatifu hata kidogo. Lakini kwa wenzetu wame nufaika kupitia yeye (Nyerere) kwahiyo aishangazi mukimpa cheo cha "UBABA"../QUOTE]
Hizo ni pumba, hebu tuambie Uislamu wa Jk unahusia au kutohusiana vipi na mtu kuitwa baba?
Mleta mada hakuongelea dini zao lkn kwa Uislamu wako feki umechomekea din
Achana na hilo janga la Taifa, ninamashaka hata kama anazijua na kuzitambua Nguzo za dini ya kiislam. Ndio hayo mapandikizi ya ustadhi Ilunga. Wao wapo radhi waonekane wamevaa vazi la kanzu na kibaragashia ili watambulike kua ni Waislam kumbe majina tu wakati hata dini yenyewe hawaijui.
Hilo la viongozi wa dini na chaguo la Mungu ni mtandao tu ulioundwa kwenye maeneo yote kwa kutumia njia halali na haramu.
Mleta mada unaonekana mbeya mbeya sana alafu mfitinishaji. Kimsingi the way mtu anamheshimu na kumthamini mtu is not compulsory kuwa expressed kwa maneno au kwa vitendo. Mimi leo naweza tamka kwa kumuita Nyerere father of the nation lakini bado image yake kwangu ikawa absolutely negative. Hivyo basi ndugu Jakaya kumwita Nyerere is not a case by the Nyerere ametoweka akiwa mzee.
Kama jina la TAA linavyojieleza. Ni taifa halali la Tanganyika.[/QUOTE]
Sasa tatizo liko wapi? Kama hao walikuwa ni baba wa taifa lililoitwa "Taifa halali la Tanganyika", hakuna anayebisha. Mwalimu Nyerere si baba wa taifa halali la tanganyika.
..na si mwasisi pekee wa nchi inayoitwa Tanzania.Kama jina la TAA linavyojieleza. Ni taifa halali la Tanganyika.[/QUOTE]
Sasa tatizo liko wapi? Kama hao walikuwa ni baba wa taifa lililoitwa "Taifa halali la Tanganyika", hakuna anayebisha. Mwalimu Nyerere si baba wa taifa halali la tanganyika.
Kama jina la TAA linavyojieleza. Ni taifa halali la Tanganyika.[/QUOTE]
Sasa tatizo liko wapi? Kama hao walikuwa ni baba wa taifa lililoitwa "Taifa halali la Tanganyika", hakuna anayebisha. Mwalimu Nyerere si baba wa taifa halali la tanganyika.
Taifa la kimagumashi lililoundwa kwa misingi ya kidicteta halidumu milele.