Kikwete: MZEE NYERERE

aya ya ya ya this is epic.i *%&% love JF.
 
Binafsi nadhani anatumia njia nyingine za kumuenzi. Kwa mfano kujiita JK (Julius Kambarage) ni wazi yeye ni JM (Jakaya Mrisho) inahitaji jicho la ziada kuona hili?
 
Huwa namshangaa yeye anapojiita eti Dr. Dokta gani hawezi hata kuongea!!!! Halafu udokta wenyewe wa kupewa chuo cha kata UDOM, ptuuuuuu!!!

ukumbuke pia prof wako Mukandara wa Udsm ashamtunuku pia.
 
Kweli mkuu, huyu jamaa atanichosha, sasa hivi akiuliza tena namkaushia.

hunijibu au huna jibu? Nyerere kumwita baba ni desire ya mtu sio lazima, ndio maana Kikwete anamuita Mzee, mimi namuita Babu au marehemu Nyerere kwasababu ana umri sawa na marehemu babu yangu!
 

Tatizo ni kwamba historia yote ya vuguvugu la Watanganyika wakati wa enzi za T.A.A haijaandikwa kwa makusudi na utawala wa Nyerere ili kuwapa Watanzania picha kwamba mambo yote ya kudai uhuru yalianzia T.A.N.U alipoingia yeye. Baba wa Taifa letu lazima awe muasisi wa T.A.A. kwani ndio mtandao ulioanza kuwaunganisha Watanganyika. Sasa waulizwe wazee wachache waliobaki waliokuwepo wakati T.A.A. ilipoanzishwa ndio watatuambia nani anastahili kuitwa Baba wa Taifa
 

safi sana unajua ukisoma unatakiwa kila kitu ukifanye kwa kujiuliza sababu za msingi za kufanya kitu hicho ndo maana Jk akireason haoni sababu ya kumuita Nyerere Baba wa taifa maana baba wa taifa hili halali ni yule alieanzisha harakati za TAA na wala c nyerere na Historia hii imefichwa ili kuwabrainwash vilaza ila msomi wapaswa kijiuliza na kuzifuatilia harakati za Mwanzo ndio utajua nani alipaswa kuitwa Baba wa taifa na baada ya Uhuru kundi hilo la wazee wa TAA lilifanyiwa nn na mwisho wake ulikua nn. Tuache kuburuzwa
 
Wewe na huyo hansy wa East mmeandika kitu kimoja, sidhani kama ni coincidence ila nadhani mna source moja ya taarifa, kitu ambacho sitaki kuamini ni kama hao wanaowaeleza hayo hawawaelezi pia kuwa ni nani anaestahili kuitwa baba wa taifa, kama ndivyo, basi hawana hoja, huwezi kusema kuwa mtu flani hafai bila kuwa nambadala, Ningependa mkawaulize swali hao wanaowalisha hizo propaganda hivi,
Baba wa Taifa ni yule kiongozi wa kwanza wa taifa huru au ni yule aliekuwa wa kwanza kuanzisha chama?
Wakikujibu njoo tena tuendelee na mjadala.
 

Kwani ni lazima tuwe na baba wa Taifa? Kusipo kuwa na mdadala nini madhara yake? Cheo cha Ubaba wa taifa kinachangia kiasi gani kwenye GDP?
 
Kwani ni lazima tuwe na baba wa Taifa? Kusipo kuwa na mdadala nini madhara yake? Cheo cha Ubaba wa taifa kinachangia kiasi gani kwenye GDP?
Wewe ulishasikia Taifa gani duniani halina Baba waTaifa?, kama ni kweli unaamini kuwa cheo cha baba waTaifa hakina thamani, kwa nini wewe na huyo mwenzio mnalilia Nyerere asiitwe baba wa Taifa nabadala yake aitwe huyo mnaedai ameanzisha T.A.A?
 
Kwani ni lazima tuwe na baba wa Taifa? Kusipo kuwa na mdadala nini madhara yake? Cheo cha Ubaba wa taifa kinachangia kiasi gani kwenye GDP?
Yaani swali ni hivi, kama hicho cheo hakina thamani kama unavyodai, inawauma nini nyie Nyerere kuitwa hivyo?, mbona mnakuwa na roho za korosho sana nyie.
 

Angalia list hii ya watu wanaotambulika kama Baba wa Taifa wa Mataifa yao na uniambie kama kuna uhusiano wowote wa wao kuwa viongozi wa kwanza wa Taifa huru: Hii ni mifano michache tu.

Country
Father of the Nation
Source
Cuba
Carlos Manuel de Céspedes del Castillo
Thomas, Hugh 1971. Cuba, or the pursuit of freedom. Eyre & Spottiswoode, London. Revised and abridged edition 2001, Picador, London. Chapters 16 & 17.
Croatia
Ante Starčević

Tanner, Marcus (2001). Croatia: A Nation Forged in War (2nd ed.). Yale University Press. p. 102.
Chile
Bernardo O'Higgins

Harvey, Robert (2000). Liberators: Latin America's Struggle for Independence. New York: The Overlook Press
India
Mahatma Gandhi
The Collected Works of Mahatma Gandhi, Government of India (CWMG), Vol I, p. 150
Bolivia
Simón Bolívar
Bushnell, David. The Liberator, Simón Bolívar. New York: Alfred A. Knopf, 1970
Israel
Theodor Herzl
Brenner, Michael, and Shelley Frisch. Zionism: A Brief History (2003)
Sierra Leone
Thomas Peters
Sanneh (2001), p. 50
France
Clovis 1
Brown, Peter (2003). The Rise of Western Christendom. Malden, MA, USA: Blackwell Publishing Ltd.. p. 137
Ireland
the seven signatories of the Proclamation of the Irish Republic: Patrick Pearse, James Connolly, Éamonn Ceannt, Tom Clarke, Seán Mac Diarmada, Thomas MacDonagh, and Joseph Mary Plunkett. Robert Emmett is also considered a founding father

Netherland
Prince William I of Orange (1533–1584)

 
Wewe na huyo hansy wa East mmeandika kitu kimoja, sidhani kama ni coincidence ila nadhani mna source moja ya taarifa, kitu ambacho sitaki kuamini ni kama hao wanaowaeleza hayo hawawaelezi pia kuwa ni nani anaestahili kuitwa baba wa taifa, kama ndivyo, basi hawana hoja, huwezi kusema kuwa mtu flani hafai bila kuwa nambadala, Ningependa mkawaulize swali hao wanaowalisha hizo propaganda hivi,
Baba wa Taifa ni yule kiongozi wa kwanza wa taifa huru au ni yule aliekuwa wa kwanza kuanzisha chama?
Wakikujibu njoo tena tuendelee na mjadala.

Na kama unataka kujua mtu mbadala basi Kleist Sykes anastahili sifa hiyo unless someone comes with a better candidate for that matter. Ukisoma hizi articles mbili zilizoandikwa na Citizen utapata picha ya ninachokizungumzia

TAA strikes fear in colonial hearts

The Sykes legacy lives on
 
Hilo jina lenyewe watu watashindwa hata kulimka kleist sykes? Baba wa Taifa kleist sykes? kwanza hata haiji.
 
Nimewahi kusikia kwa mtu kuwa Rais Kikwete huwa hamuiti Mwalimu Nyerere 'baba wa taifa', kama tunavyofanya watanzania wengi. Japo sina uhakika sana na hili, mimi pia nimemsikiliza JK mara kadhaa anapoongea kuhusu Nyerere hamuiti baba wa taifa bali humuita 'mzee Nyerere'.

Kuna sababu yoyote ya maana inayomfanya JK asimuite baba wa taifa? au ameamua mwenyewe tu kumuita hivyo? Kuna tatizo lolote kutokumuita baba wa taifa?
 
Nadhani halazimki kumwita hivyo kama vile wewe ambayo hujaanza na Mheshimiwa Rais JK.
 

Wivu wa kike una msumbua......by Magufuri
 
Lakini hata akimwita babu nini kinaharibika? Lile ni jina tu lisikufanye ushindwe kuishi kwa amani!
 
Cheo chake ni Baba mtakatifu wa kato...i na si wa taifa, umesahau mkuu.
 
sisi hatujui - endelea kufanya utafiti uje utujuze. Pia unaweza kupitia hotuba zake may be zinaweza kukusaidia hasa ile aliyokuwa anatoa ufafanuzi kuhusu namna ya kumpata kiongozi tuliyemhitaji kwa wakati huo na nyufa za taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…