Nurdin moh'd
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 367
- 70
Nyerere baba wa taifa la tanganyika.
Nyerere baba wa taifa la tanganyika.
Mwanzo, nilidhani utakua uzushi, ila leo kupitia maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa CCM, ndio nimeamini kupitia matamshi yake. Hv ni kwanini Ndg. Mrisho Kikwete huwa hataki kutamka Jina "Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere"????
Je na zile picha za kumbukumbu zenye Jina la Baba wa Taifa..., ziliandikwa kimakosa??
sababu ziko nyingi lakini kubwa inaweza ikawa ni hizi juhudi zinazoendeleala za kubadilisha mkondo wa historia ambapo wanahistoria wanasema ni vigumu maana historia hutokaea yenyewe.mkuu, nauliza ya kwa kwamba ni kwanini Ndugu Mrisho Kikwete, huwa hayuko tayari kumuita Nyerere, "Baba wa Taifa".
Maana leo amezihirisha kabisa kwa kumuita MZEE NYERFRE
Mwanzo, nilidhani utakua uzushi, ila leo kupitia maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa CCM, ndio nimeamini kupitia matamshi yake. Hv ni kwanini Ndg. Mrisho Kikwete huwa hataki kutamka Jina "Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere"????
Je na zile picha za kumbukumbu zenye Jina la Baba wa Taifa..., ziliandikwa kimakosa??
Mwalimu aliwahi kumtukana sana Kikwete aliposhiriki kuanzisha fagio la chuma lengo likiwa kuwaondoa viongozi aina ya Kawawa Rashidi chamani.....Mwalimu alimtukana sana sana hata matusi ya ajabu kabisa!! kwamba wewe ni nani kwa mtu kama kawawa ktk nchi hii??....lkn alikuwa ameelezwa na Raisi Mwinyi wakati huo ktijibu kitu chochote.
Nihivi, Mwinyi alipotaka kumteua Kikwete uwaziri alimwambia aende kwanza kwa mwalimu akaombe msamaha kwa kuanzisha vuguvugu la kutaka kumng'oa Kawawa CCM......ndiyo yakamkuta hayo ya kutukanwa kama mtoto...kuwa wewe kijana mnafiki sana hata wenzio wanakujua kuwa mnafiki, n.k...
Sasa Kikwete, akichanganya hili, na lile la mwalimu kupeleka barua yake ya unafiki kwa mkuu wa majeshi(rejea jinsi alivyoondoka monduli kwa msukosuko)...bado ana kinyongo sana na Mwalimu!
ah hahaha ha! Jf ni watu. Na mkikosekana kama ninyi haina maana. Teh! Mkuu kweli umewachoka "jirani" zetu.
Na wewe kwanini hutaki kumtambua na kumpa heshima yake kwa kumuita rais. Jakaya kikwete na sio ndugu. Acha roho mbaya isiyo na ustaarabu au wewe sio mtanzania . Unahangaika kutoa heshima kwa marehemu wakati walio hai wanaokutawala huwaheshimu au kwani akimuita mzee nyerere wewe utaongezewa mshahara kibaruani kwako
kwani ni lazima atamke baba wa taifa, kwani akisema Mzee si inajulikana anamlenga nani, hata akisema Rais wa awamu ya kwanza inajulikana ni Baba wa Taifa tu.
kwa mtazamo wako, niuonao hata angemuita Babu Nyerere kwako ingekua sawa tu.??
Binafsi sijakuelewa mkuu.
Mwalimu aliwahi kumtukana sana Kikwete aliposhiriki kuanzisha fagio la chuma lengo likiwa kuwaondoa viongozi aina ya Kawawa Rashidi chamani.....Mwalimu alimtukana sana sana hata matusi ya ajabu kabisa!! kwamba wewe ni nani kwa mtu kama kawawa ktk nchi hii??....lkn alikuwa ameelezwa na Raisi Mwinyi wakati huo ktijibu kitu chochote.
Nihivi, Mwinyi alipotaka kumteua Kikwete uwaziri alimwambia aende kwanza kwa mwalimu akaombe msamaha kwa kuanzisha vuguvugu la kutaka kumng'oa Kawawa CCM......ndiyo yakamkuta hayo ya kutukanwa kama mtoto...kuwa wewe kijana mnafiki sana hata wenzio wanakujua kuwa mnafiki, n.k...
Sasa Kikwete, akichanganya hili, na lile la mwalimu kupeleka barua yake ya unafiki kwa mkuu wa majeshi(rejea jinsi alivyoondoka monduli kwa msukosuko)...bado ana kinyongo sana na Mwalimu!
wa Zanzibar ni John Okelo...