Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,084
- 93,908
Kesho watakuwa wote ZanzibarRostam ataonekana ikiwa SSH akifika huko.
Kesho watakuwa wote ZanzibarRostam ataonekana ikiwa SSH akifika huko.
Subirin mwili unaenda unguja baada yahapo labda utaletwa mkurangaTuko Mkuranga tunasubiri maziko
Hotuba ya leo ya Kikwete, imeambatana na tabasamu pana sana kuna kauli moja amesema "simamia unachokiamini"Kesho watakuwa wote Zanzibar
Ni tapeli snHotuba ya leo ya Kikwete, imeambatana na tabasamu pana sana kuna kauli moja amesema "simamia unachokiamini"
Kasema mengi muhimu mtu pekee aliemuwezesha kufikia hadi hatua ya u-Rais ni marehemu Mwingi
Hizi personal comebacks ni nzuri sana
Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Nakuunga mkono. Wao walisema wengi wape, Mwl Nyerere akasema hapana ndipo Mzee Mwwinyi akaridhia .Kumbe haukuwa ushauri wa Nyerere? Au kwa sababu kafa mzuri mwenzao?
Mko msibani mnawaza kushinda chaguzi, hakuna Maji, HAKUNA Umeme, HAKUNA, mafuta, hakuna Huduma za Afya, mnawaza kushinda chaguzi. Akili zenu sijui ziko wapi.....Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Spinning...Kaeleza vyema kwny kitabu chake, kazi kubwa ya kushawishi kamati kuu ya CCM kuridhia mfumo Vyama vingi ilifanywa na Kamati aliyounda chini ya Mzee Kingunge Ngombale alieshauri bora wavianzishe vyama vingi ili wavisimamie kwa kuratibu kuliko vikija kwa kasi ya mabadiliko vitawashinda kuvi control na keki wakaweza kuviratibu hadi leo tuna enjoy Siasa za Chadema na ACT wazalendo hadi Mabalozi hawaamini kinachoendelea jinsi Siasa za Nchi hii zinavyoenda
Nyerere alipewa tu zile sifa kwa heshma tu
Sisi tunawaza sukari akinakikwete wanawaza urais na familia zao!Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Namuelewa kikwete!Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Kumwambia yajayoNi kweli swali la kijinga,kamstahi tu kusema halina maana,ni swali la kijinga haswa,lengo la mwandishi lilikua nini!?
Mungu kaamua nchi iwe huru toka mikononi mwa wakongwe na sisi tujitawale!!Kifo ni mpango wa Mungu Ila Kama Taifa tunapaswa kujitafakari tumemuudhi Mungu nini?
Kuna AA Karume AM Shein FT Sumaye S Malecela bado wapo wengi tu wastaafu wa kushauriana nayeTutajua mengi sana kipindi hiki!
Ndio mstaafu pekee.alie baki!!
Huyu naye Mungu atamhitaji pundeHili jangili la mali za umma linapiga siasa muda wote
Labda yeye anadhani hajastaafuMwandishi wa Habari akajaribu kumuuliza swali la ziada Jakaya kuwa wewe sasa ndio Rais Mstaafu pekee ukiebakia, kabla hajamaliza akamjibu swali hilo halina maana huyooo akaelekea kwny gari lake, mwandishi akabaki kapigwa na butwaa
Kumbe tushapita 2030 na hatuna habari.Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC
Kumbe tushapita 2030 na hatuna habari.Rais Mstaafu Kikwete amesema mabadiliko ya Kiuchumi na Kisiasa nchini yameletwa na mzee Mwinyi
Kikwete amesema Mwinyi ndio alishauri yafanyike mabadiliko Wakati 80% ya Watanzania bado Wana Imani na CCM
Busara hizo ndio zimeisaidia CCM kuendelea kushinda 2025, 2030 na kuendelea
Source: TBC