mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.
Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho.
"Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi" Mwisho wa nukuu.
Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba
Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho.
"Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi" Mwisho wa nukuu.
Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba