Kikwete mtuhumiwa, tufanye nini?

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho.

"Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi" Mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba
 
JK kaona dawa ni kujilimbikizia mali kupitia kwa mwanae R1 ili akitoka madarakani awe katajirika kama EL. Sasa hajui mwenzie EL alianza siku nyingi ndio maana anapokwapua chapchap anstukiwa maana anajua muda si mrefu ataachia ngazi.

Ila jueni kuna maa-lshabab wanasomea u-sniper na sehemu itakayotumika mmeshaijenga kifisadi ni lile jengo refu pale pembeni ya ocean road hospital wallahi pale lazima nimuumize mtu akiwa ikulu.
 
kama kweli ana tuhuma basi kama aliingia kwa bahati mbaya tumsamee maana amezdiwa na wajanja wakishikiana na usalama wa taifa na wakatibu wakuu, na kwa ufupi makatibu wote ni wana usalama
 
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

""Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho. Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi."" mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba
Umenukuu kutoka 'mwanaharisi 30 desemba 2011?' ww unaota ndoto ya mchana? Upuuzi mtupu.
 
Too late jamaa keshajiwekea kinga kwa kutia sahihi kwenye sheria ya muswada wa katiba mpya.
 
kama kweli ana tuhuma basi kama aliingia kwa bahati mbaya tumsamee maana amezdiwa na wajanja wakishikiana na usalama wa taifa na wakatibu wakuu, na kwa ufupi makatibu wote ni wana usalama

Kama ni ivyo tutakuwa tayari kumsamehe ilopo tu atumie USTAARABU KUJIUZULU, tumchague rais mwingine atakaeweza kutatua matatizo yetu
 
Jk jua mwisho wa ubaya ni aibu, na aibu zitakujia muda sio mrefu
 

mbona kwenye vyama vya siasa wengi ni watuhumiwa!!!!!

watuhumiwa wa nini ? kanunue gazeti usome, JK v/s Lowasa Juu ya Richmond. Usikurupuke soma habari maana tuhuma ni za siku nyingi zilikuwa zinakificho sana , JK hakujua na Bado hajajua Mwenye Dowans ni nani, sasa Wakatibu wakuu na Yeye huu ndio wakati wa kutuambia Mwenye Dowans kwa kuwa walisaini makubaliano ambayo Lowasa kama waziri mkuu aliyatilia shaka na kumpigia Simu JK kabla ya kukwea Pipa kwenda Ma mtoni.
 
Mbona kawaida tu. Mbona ccm na rais wao ni wezi tu. Mwakyembe alisema ningelisema yote ingelikuwa ni anguko la nchi! Mlielewaje. Raisi mwenyewe ni panchi, mkora shit tanzania ni uchi!
 
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

""Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho. Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi."" mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba
Pumba zingine bana!
 
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

""Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho. Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi."" mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba

Sijui kama kweli unaelewa maana ya desemba. Halafu haliitwi Mwanaharisi bali Mwanahalisi
 
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

""Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho. Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi."" mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba

Mh! Habari hiyo hata mimi nimeisoma yote. inatia uchungu sana.
 
watuhumiwa wa nini ? kanunue gazeti usome, JK v/s Lowasa Juu ya Richmond. Usikurupuke soma habari maana tuhuma ni za siku nyingi zilikuwa zinakificho sana , JK hakujua na Bado hajajua Mwenye Dowans ni nani, sasa Wakatibu wakuu na Yeye huu ndio wakati wa kutuambia Mwenye Dowans kwa kuwa walisaini makubaliano ambayo Lowasa kama waziri mkuu aliyatilia shaka na kumpigia Simu JK kabla ya kukwea Pipa kwenda Ma mtoni.

Akanunue gazeti la tarehe 30 Desemba 2011?
 
Akanunue gazeti la tarehe 30 Desemba 2011?

Kama mia tano inampiga chenga nimprintie habari kamili. kuna mtu anajifanya anajua kukosoa maandishi, kiswahili chetu kinafutana unatoka mkoa gani, mie ni wakuja tu, sio mzaliwa wa Ocean Road kama wajanja wengi wanavyojitapa kumbe wamezaliwa .pang......
 
Nukuu kutoka mwanaharisi 30 desemba 2011 by Kondo Tutindaga.

""Suala la umeme linagusa usalama wa nchi na kwa kuonekana kuwa mhujumu wa usalama wa nchi na watu wake, ni suala lisiloweza kufumbiwa macho. Ikumbukwe kuwa kelele za maadili ya uongozi katika taifa letu yamekuwa hayashughriliwi na sasa twaweza kuamini ni kwa sababu Rais wetu anajishuku kuwa alishughulikia au kusimamia maadili ya uongozi yataibuka masuala mengi ya kashfa zinazomhusu katika eneo hili nyeti la maadili ya uongozi."" mwisho wa nukuu.

Hii imenitia homa naenda kulala , soma habari kamili kwenye gazeti Mwanaharisi ukurasa wa saba

Hapo kwenye red: Real December 2011?
 
JK kaona dawa ni kujilimbikizia mali kupitia kwa mwanae R1 ili akitoka madarakani awe katajirika kama EL. Sasa hajui mwenzie EL alianza siku nyingi ndio maana anapokwapua chapchap anstukiwa maana anajua muda si mrefu ataachia ngazi.

Ila jueni kuna maa-lshabab wanasomea u-sniper na sehemu itakayotumika mmeshaijenga kifisadi ni lile jengo refu pale pembeni ya ocean road hospital wallahi pale lazima nimuumize mtu akiwa ikulu.

take me in, i can do that for free........i need only a sniper rifle, made in Russia
 
Back
Top Bottom