Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Kuna mnavyooelewa, sasa hivi nchi ya Marekani inajiandaa na uchaguzi mkuu unaowakutanisha wagombea wawili ambao huenda wakawa na mtazamo tofauti katika foreign policy. Wagombea hao ni Barack Obama wa Democrats na John Mccain wa Republican.
Rais J. Kikwete amekuwa aki-enjoy relations na Rais wa Marekani anayemaliza muda wake G.W. Bush. JK amekuwa akifanya ziara za mara kwa mara nchini Marekani kuliko hata mikoa mingine nchini Tanzania. Kuna mikoa mingine haijawahi kupata bahati ya kutembelewa na JK tangu awe Prezidaa e.g Mbeya.........
Matokeo ya uchaguzi Mkuu nchini Marekani utaleta utawala mpya pamoja na sera mpya katika nchi hiyo. Swali hapa, je Rais Kikwete ataendelea kuwa na mahusiano ya karibu na utawala wa nchi ya Marekani?
Karibu kujadili........
Rais J. Kikwete amekuwa aki-enjoy relations na Rais wa Marekani anayemaliza muda wake G.W. Bush. JK amekuwa akifanya ziara za mara kwa mara nchini Marekani kuliko hata mikoa mingine nchini Tanzania. Kuna mikoa mingine haijawahi kupata bahati ya kutembelewa na JK tangu awe Prezidaa e.g Mbeya.........
Matokeo ya uchaguzi Mkuu nchini Marekani utaleta utawala mpya pamoja na sera mpya katika nchi hiyo. Swali hapa, je Rais Kikwete ataendelea kuwa na mahusiano ya karibu na utawala wa nchi ya Marekani?
Karibu kujadili........