@FaizaFoxy, kwenye red: Is is possible that awamu zilijejenga barabara 9,999km? na hivyo Kikwete kwa miaka sita (5 1/2 yrs) akawa amejenga 1km?
Kikwete hajafanya miradi mikubwa yoyote, mingi alikuta tayari imeshanza na malipo yake yalikuwa tayari. Yeye amekuwa 'mfunguzi' au tuseme mzindizu wa hii miradi: Mliman City, Uwanja wa Taifa, Daraja la Mkapa. Hata chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa kisimamia tungekuwa tunaongea lugha ya Daraja la Kigambano! Mkapa aliweza kutafuta 'sources' of funds na akasimamia ujenzi.
Muda wa Kikwete madarakani unazidi kuyoyoma, walio karibu naye wamsaidie ili afanye kitu kimoja cha maana, lakini hiii tabia ya 'wapambe' ya kutaka kuanika mapungufu ya marais waliopita haiwezi kumjenga. By the way tumesikia mengi kuhusu Mwl Nyerere, sasa Mkapa. Ni lini tutasikia kuhusu Mwinyi?[/QUOTE]
Nani Mdini hapa? Kila kitu watu wa dini fulani, halafu mkiambiwa Wadini mnapiga kelele eti JK ndiyo Mdini. Acheni ujinga wenu kupotosha historia.
@FaizaFoxy, kwenye red: Is is possible that awamu zilijejenga barabara 9,999km? na hivyo Kikwete kwa miaka sita (5 1/2 yrs) akawa amejenga 1km?
Kikwete hajafanya miradi mikubwa yoyote, mingi alikuta tayari imeshanza na malipo yake yalikuwa tayari. Yeye amekuwa 'mfunguzi' au tuseme mzindizu wa hii miradi: Mliman City, Uwanja wa Taifa, Daraja la Mkapa. Hata chuo kikuu cha Dodoma kama sio Mkapa kisimamia tungekuwa tunaongea lugha ya Daraja la Kigambano! Mkapa aliweza kutafuta 'sources' of funds na akasimamia ujenzi.
Muda wa Kikwete madarakani unazidi kuyoyoma, walio karibu naye wamsaidie ili afanye kitu kimoja cha maana, lakini hiii tabia ya 'wapambe' ya kutaka kuanika mapungufu ya marais waliopita haiwezi kumjenga. By the way tumesikia mengi kuhusu Mwl Nyerere, sasa Mkapa. Ni lini tutasikia kuhusu Mwinyi?
Bibie,Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?
Yeah, right. Shughuli maalumu kama vile kukutana na akina Shaquille O' Neal.Na hilo pia ni ukweli usiopingika, usisahau na ni Rais pia aliyepokea wageni mashuhuri wengi kuliko yoyote, na ni Rais pia anaetembelea mikoani kuliko yoyote yule. Anaposafiri nje huwa anaenda kwa shughuli maalum.
Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Umesema kweli!
Lakini hapo kwenye red napingana na wewe! Mashirika mengi yamekufa enzi za mzee Ruksa hivyo Mkapa alipoyakuta yana hali mbaya akaamua kuyabinafsisha. Pia kumbuka yote hayo ni matokeo ya Azimio la Zanzibar (miaka '90s).
Kwa hiyo mzee Mkapa hakuwa na jinsi zaidi ya kuyauza hayo mashirika yaliyokuwa na hali mbaya.
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?
wakuu kikawaida kwa wale ma-surveyor mtanisaidia kikawaida kabla ya ujenzi wa barbara infanyika survey ambayo itaamua barabara ijengwe kupitia wapi na mahala husika, na hizo survey huchukuwa hata miaka ........mbunifu na mtafuta funds ktk ujenzi wa barabara? ===== MKAPA yaani baba mdogo aka.
Napenda kuongoza kidogo, wote tuna njaa kula hakukataliwi, kula basi huku ukifanya mambo yakaonekana kama braza MKAPA, mkuu amekula hadi anasahau waliomkamatia kitoweo (wapigakura wake)!!!!! si uungwana.
Jasusi umesahau na Mh. JK kukutana na akina Boyz II Men na Chris Tucker as part of shughuli maalum.
Zitaje plzKabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
Ile ya Singida Babati si kaanzisha yeye?Kwa hakika JK amefanikisha km 60 za barabara huko Mwandiga tangu mwaka 2005, hakuna barabara aliyoanza kuijenga yeye kama Rais, tuwe wakweli tusitake sifa za Nyani.
hata hizo unazodai kufahamu, zimejengwa? Usije ukawa unatoa hoja kwa kutumia majibu ya mawazhri!Kwa vile mpaka sasa hakuna takwimu na wachangiaji mada kuhusu kiasi gani cha barabara zilizojengwa kwa kila awamu, naogopa kusema ni awamu hii au ile ndiyo zaidi. Lakini dhana ya kwamba eti Rais anasafiri sana na kwa hiyo hawezi kuwa alijenga barabara nyingi kuliko watangulizi wake ni upungufu mkubwa katika uwezo wakujenga hoja. Ninavyofahamu mimi ni kwamba kumekuwa na hatua nzuri sana kuhusiana na maendeleo ya miundo mbinu katika awamu hizi mbili za uongozi. Kwa mfano barabara za Mbeya - Chunya mpaka Tabora, ile ya Singida mpaka Manyara, Somanga mpaka Ndundu, ile ya Mangaka Tunduru, na nyingine nyingi ni zao la awamu hii ya nne.