Crap...crap....crap...plus upupu.Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Akili za huyu dada zimekaa vyp sijui' viwanda?' kikwete amejenga kiwanda kipi? Shule- hebu angalia elimu inayotolewa angalia ufaulu, tangu 2006 alivyoingia ufaulu fm 4 iliku zaidi ya 60% leo wanafunzi 51% wanafeli,shule ya msingi eti kati ya watoto 10 wanaomaliza la saba watatu hawawezi kusoma kitabu cha darasa la pili, sita kati yao hawawezi kusoma kitabu cha kiingereza cha darasa la tatu....Chuoni wanafunzi wanamaliza bila kwenda field pia hawana walimu wa kutosha.Afya kumbuka kilichotokea kwa babu Loliondo na matokeo ya ziara za wataalamu wizara wa afya wanavyofungia hospitali na zahanati...Ntarudi baadaye.
ni kweli faiza. Tazama reli inavyofanya kazi. Tazama bandari isiyochelewesha mizigo ya watu. Tazama meli nyingi ni mpya. Tazama migodi inavyotunufaisha watanzania. Tazama bajeti yetu ambayo kwa sasa sio tegemezi. Tazama sasa hatuna mgao wa umeme kama zamani. Tazama wananchi wenye furaha na ambao hawafuliki kwenye mikutano na maandamano ya chadema. Tazama viongoz wetu walivyo waadilifu. Sasa hakuna ufisadi kama zaman. Tazama shule zina walimu kibao hadi wengine hawana masomo ya kufundisha. Shule za kata zote ni za gorofa. Tazama uchumi umekuwa na mambo mengine kibao. Tunasonga mbele na hatua zetu zinaridhisha.Tazama shule ngapi za sekondari wakati wake na awamu zote zilizopita. Tazama zahanati. Tazama vyuo vikuu. Tazama barabara. Tazama viwanda. Halafu urudi useme uyasemayo.
Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
Hatuongelei mpango au mipango, tunaongelea alichofanya Kikwete.kuna uwezekano wewe ni miongoni mwa zao la hizo shule. mbona mpango wa MMES na MMEM ulianza kabla ya kikwete?
Na hilo pia ni ukweli usiopingika, usisahau na ni Rais pia aliyepokea wageni mashuhuri wengi kuliko yoyote, na ni Rais pia anaetembelea mikoani kuliko yoyote yule. Anaposafiri nje huwa anaenda kwa shughuli maalum.Aseme Rais wa Awamu ya Nne ndo Rais aliye fanya safari nyingi zaidi za nje kuliko wote waliomtangulia-hapo ningemuelewa!
60% ya wanafunzi wangapi na 51% ya wanafunzi wangapi wa Form IV ? Ukipata jibu njoo liweke halafu tuendelee na hoja yako nyingine. Nnaapa huwezi toa jibu kwani litakusuta.Lol! akili za huyo dada anajua muumba aliyeumba na kutuletea mauza uza ulimwenguni hapa! khaa! ama kweli akili ni nywele! na kuanzia leo nasema binadamu wote si sawa!
Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
Mzee wa kwanza kwa nini, kila post yako ili neno lazima ulitumie, fani ya ni Askarihawa mawaziri wa jk wafunge kwa kuropoka uongo.kwanza kwa nini wizara ya ujenzi hisianzishe website ya miradi yakeikiwemo ya barabara kuonye ilijengwa lini?na nani kwa hela kutoka wapi?na ghalama ya miradi hiyo?waweke na contact namba ili mambo kuwa ya uwazi zaidi.hapa hawata kuwa na haja ya kutulangua na taarifa za uongo bungeni.
Mzee wa kwanza kwa nini, kila post yako ili neno lazima ulitumie, fani ya ni Askari
barabara nyingi za nchi hii zimejengwa na serikali ya awamu ya tatu
kuna ambazo kikwete alikuta zinaendelea kujengwa lakini pesa yake ilikuwa tayari
hao wanataka kupiga cross na kufunga wenyewe
Umesema vyema kabisa .JK amekuja anakuta kila kitu kwenye programu na yeye hana pesa za kujenga ila za kutalii Duniani .Hana muda but Mkapa ndiye apewe sifa kaacha zinajengwa na prog ilikuwa tayari so Nyalangu anajikomba tu kwa komba ili apate kamkate kake mnafiki mkubwa huyu .
hapa pia nakataa, bara bara nyingi zilijengwa enzi za nyerere, labda mseme bara bara za kiwango cha lami ni mzee mkapa, lakini pia njia nyinge muhimu za uchukuzi km reli zimekufa enzi za mkapa.
Kabla ya Kikwete, awamu zote chini ya 10,000Kms, miaka 6 ya Kikwete zaidi ya 10,000Kms na bado zaja.
hapa pia nakataa, bara bara nyingi zilijengwa enzi za nyerere, labda mseme bara bara za kiwango cha lami ni mzee mkapa, lakini pia njia nyinge muhimu za uchukuzi km reli zimekufa enzi za mkapa.
Jana nilimsikia huyu waziri mdogo wa biashara anaitwa Nyalandu katika kipindi cha tuongee asubuhi star tv akisema kuwa awamu ya nne ambayo inaongozwa na Kikwete wamejenga barabara nyingi au niseme kilometa nyingi kuliko awamu zote tatu zilizotangulia kwa pamoja. Hivi ni kweli? Je ni barabara zipi?
huyu mzee mwinyi ndo gurudumu lilipoanzia la kwenda mrama mpka jk senior(nyerere) alisema ikulu sio sehemu ya walanguzi..na kuhusu jk kashangia world gueness record kuwa ni rais wa kwanza kuudhuria misba na sherehe nyingi kuliko marais wote duniani na anayedhurula dunia kiasi cha kulingana na vasco da gama..