Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
ndio maana wakafanya mpango watu wengi wasipige kura kupanga siku ya uchaguzi kuwa siku ya ibada jumapili, supported na media, usalama wa taifa, jeshi, wasomi, wakulima, wafanyakzazi, na kila raia anaeitakia mema nchi hii, hatuwezi kuendelea kunyonywa enough is enough
Kaka katika hili la kupanga siku ya uchaguzi kuwa jumapili wala tusiwalaumu CCM, kwani sio wao waliopanga hili ni NEC na wala haikuanza Mwaka huu tangu mimi nimeanza kupiga kura kwa mara ya kwanza miaka karibu 20 iliyopita uchaguzi ulifanyika jumapili. Na kwenye red hapo sikubaliani nawe ni usalama wa taifa upi na jeshi lipi wanaounga mkono slaa, usiniambie ni jeshi hilihili la Jenerali Shimbo!