Kikwete Jiuzulu uinusuru nchi...

Jibu hoja kwa hoja na sio kuleta mipasho!

Hebu eleza uongo ni upi hapo?

Kwanini tusiamini wewe mchangiaji ndio muongo?

Sometimes bora kukaa kimya kuliko kuleja hoja dhaifu kujibu hoja nzito.

Wote ni uongo, majungu, ufataani, uzandik na uzushi. Kuna hoja hapo?
 
Rais wako wa kaskazini anafanya poa kwahiyo tuachie Rais wetu.

Hivi wewe uliwahi kuingia darasani? Ulicho kiandika kinaihusu Chadema au kichwa chako kimejaa maji badala ya ubongo! kama huna hoja soma afu pita. Si lazima u-comment
 
Kwa namna mlivyopost majibu kwa haraka ni wazi mlisoma heading tu na kuamua kujibu thread nzima.
Hii post haihusiani na CHADEMA wala kundi lolote, inahusiana na Maongozi ya nchi na udhaifu wa mamlaka ktk kutimiza wajibu wake.

Leteni hoja KWANINI ASIJIUZULU?

Mkuu nimejifunza kitu kimoja kwamba kuna watu wanamahaba na watawala hata pale watawala wanapokosea hawaoni wala hawasikii lakini hii ni Dalili ya mtu anayeelekea kufa.Nina hakika kwa tunachokiona ni dalili kabisa ya kufikia ukomo kwa uwezo wa kufikiri na kucganganua hoja jambo ambalo mwisho wake ni chama hicho kufa.
 
Kuna Watanzania ambao wanajiona wana HAKI zaidi ya wengine.

Huu ni ubaguzi wenye mizizi na chanzo kinachojulikana
 
Inawezekana ikawa si kweli kwa hayo yote msemayo ni vigumu kutoa sababu kwani atuna ushaidi wowote ju ya jambo ili......thax.
 
Kwake maji,arthi,nishati,elimu ,afya ,kilimo,miundombinu,makazi bora,ulinzi na usalama pamoja uwekezaji si vipaumbele vyake sielewi mimi
 
Umeandika mambo mazito mno wanaCCM na hata Kurugenzi ya habari Ikulu haiwezi kuyatolea ufafanuzi, andika masuala ya bla bla watu watachangia sana mpaka mwenyewe utapata conclusion na utapata recommendation.
 
Wewe rais wako si ndo Slaa? kama unaona mambo hayakupendezi ondoka Tanzania.
Eti ondoka Tanzania! haondoki mtu hapa nchi ni yetu sote.. wanaoiboronga siyo kwamba ndo wenye nayo, afterall cheo ni dhamana, leo huyo kesho yule.
 
Tutahakikisha NCHI HAITAWALIKI hiyo ndiyo chagizo ya peoples
Kwa hiyo neno hilo ndo limepelekea viongozi kuiba mali ya umma?
Vipi kuhusu mikataba mibovu?
Vipi kuhusu wewe kukosa elimu hadi unazeeka sasa hujui kupambanua masuala ya msingi ni kutokana na msemo wa nchi kutotawalika?
 
Kwa namna mlivyopost majibu kwa haraka ni wazi mlisoma heading tu na kuamua kujibu thread nzima.
Hii post haihusiani na CHADEMA wala kundi lolote, inahusiana na Maongozi ya nchi na udhaifu wa mamlaka ktk kutimiza wajibu wake.

Leteni hoja KWANINI ASIJIUZULU?

Hujaeleza chochote cha maana hivyo ni Utumbo tu. Nani achangie Utumbo?
 
Back
Top Bottom