Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,040
- 182
I MAY BE HAVING A SMILING FACE BUT AM FIRM ON STRONG ISSUES: ni kauli ambayo mkuu wa kaya alishaitoa mwaka 2006 na ameanza kuitimiza juzi juzi tu baada ya kuamua kumtosa swahiba wake mkubwa ambae wameshatueleza hawakukutana barabarani ila juzi amempa nafasi ya kutafakari na kuchukua uamuzi mwenyewe kabla chama hakijawaonyesha mlango wakutokea