Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Leo wasaka nyoka tumekaa kwenye foleni kwa lisaa limoja ...hadi muda sio mrefu ..ndio wakuu wanapita hapa wote watatu wanatokea Msoga ....msafara wa magari kama 100 ..ukiwa na viongozi wote wakuu wa nchi,inaelezwa wanatokea nyumbani kwa muhashimiwa rais Msoga....ambako walikuwa huko toka majira ya saa 5 asubuhi kwa ajili ya mlo wa mchana na kikao kifupi..
Kama inavyooeleweka muhashimiwa huwa anakaa Msoga kuanzia ijumaa hadi jumatatu mchana kama akiwa nchini....ni dhahiri leo ameamua kuwaalika wakuu apate nao msosi .
Ndio tunajisogeza taratibu toka kwenye foleni ndefu ,nadhani tunaokaa kibaha leo nyumbani ni saa sita usiku kuingia..do...
Kama inavyooeleweka muhashimiwa huwa anakaa Msoga kuanzia ijumaa hadi jumatatu mchana kama akiwa nchini....ni dhahiri leo ameamua kuwaalika wakuu apate nao msosi .
Ndio tunajisogeza taratibu toka kwenye foleni ndefu ,nadhani tunaokaa kibaha leo nyumbani ni saa sita usiku kuingia..do...