Mauzauza: Nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu

Ironbutterfly

JF-Expert Member
Feb 5, 2023
3,044
8,165
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏

Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.

Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.

Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.

Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.

Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.

Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
 
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏

Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.

Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.

Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.

Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.

Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.

Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
Cha kwanza ,acha kuchanganya mambo, udi ,na damu ya Yesu wapi na wapi?
Ndo Maana unaona Bado unapata shida.
Ushauri ,omba Kwa jina la Yesu,damu ya Yesu vinatosha achana na hayo mengine.

I think u ahutaji shule ya ndoto Ili uelewe Mungu anakupa ujumbe gani.
Ayubu 33:14-17
Anzaia hapo
 
Habari za asubuhi wanaJF, hope tumeamka salama kwa uweza wa manani🙏

Wiki kama mbili nilikuwa nasumbuliwa na ndoto za kuhusu wazee wangu (RIP, manake wote walishatangulia mbele za haki), walikuwa wananijia ndotoni wakiomba niwapatie vinywaji, sehemu nyingine niliota napeleka vyakula,wakaniomba na vinywaji, specifically soda, aliniomba Bibi mzaa mama.

Yani nilikuwa naona ndoto za kuwahusu wao na ndugu wengine walio hai katika familia. Ni wiki niliyokuwa najihisi huzuni na upweke sana bila sababu.

Basi Jumatatu nilipotoka job nikaenda kwenye msikiti wa jiran Kuna duka la dawa za kisuna nikanunua udi flan hivi huwa unatumika kuombea watu waliotangulia mbele za haki. Nikarudi nyumbani nikaoga, nikala then nikauchoma nikiwaombea pumziko hasa Bibi na mama, then kwenye saa kumi na moja nikalala,nimejiwekea utaratibu wa kulala mchana nikiwa free.

Ndani ya nusu saa toka nilale nikaota mwanamke mmoja mtu mzima kavaa upande wa kanga kajifunika Hadi kifuani, kasimama dirishani mwa chumba changu lakini kanipiga mgongo, hivyo sikumwona sura,then nikastuka toka usingizini, nikabadil upande nikarud kulala, this time kama nusu saa baadae nikaota nakabwa pumzi na mtu nisiyemwona huku amenikandamiza kichwa chini,nikawa napambana kujinasua huku nikitaja damu ya Yesu niokoe, nilihangaika kwa muda then akaniachia na nikaamka ghafla. Sikulala tena, nikaamka na kuendelea na ratiba nyingine ya kumalizia siku.

Kulipopambazuka, nikajiandaa, nikachoma udi then nikaingia mzigon, then saa 11 baada ya muda wa mkoloni, nikaenda sokon nikanunua chumvi ya mawe nikarudi home nikaipigia deki chumbani na sebuleni. Nikachoma na udi ule wa kuwaombea wazee wangu, nikaendelea na ratiba nyingine na hali ikaendelea kuwa shwari hata zile ndoto zikakata.

Kimbembe nimeamka leo nikajiandaa niende job, kabla sijatoka natafuta udi zangu zilizobaki nichome sizioni, nimekagua kote sijaziona, na ninaishi peke yangu, hii nyumba Ina usalama wa kutosha, nimebaki na bumbuwazi. Hapa nimepanga nikitoka job nikanunue za kutosha pamoja na ubani, manake hii nyumba nina wiki tu toka nihamie. Maoni yenu wadau.
Ni basi tu kwasababu wewe unang'ang'ania dini yako ya islam au sijui nini, ni rahisi, weka imani kwa Yesu Kristo mkiri kuwa yeye ndio Bwana, achana na hiyo mizimu. Ita Jina la Yesu, sali, omba ulinzi wake, jiweke chini yake, hayo mambo ya kuombwa soda na wafu yataisha. Tena wakija (jao si babu/bibi zako ni majini na wachawi) unawapigisha kwata za uhakika na kuwatukana kabisa, watu gani nyie mnataka soda, kwendeni zenu!...
 
Cha kwanza ,acha kuchanganya mambo, udi ,na damu ya Yesu wapi na wapi?
Ndo Maana unaona Bado unapata shida.
Ushauri ,omba Kwa jina la Yesu,damu ya Yesu vinatosha achana na hayo mengine.

I think u ahutaji shule ya ndoto Ili uelewe Mungu anakupa ujumbe gani.
Ayubu 33:14-17
Anzaia hapo
Sijachanganya lolote,damu ya Yesu nilitamka usingizi wakati nakabwa.Hii nyumba nimeambiwa aliyekuwa anaishi alikuwa mganga na alikuwa anaitumia kuagulia watu.Muda sio mrefu katoka kunipigia,sikuwa kwenye mazingira ya kupokea,nikitoka job ntampigia nione alikuwa ananitafutia nini.
 
Mie ni mkristo Mkatoliki,mwanachama wa Shirika la moyo mtakatifu wa Yesu,naamin katika ukombozi kupitia damu ya Yesu iliyomwagika msalaban na kuleta wokovu.Sala nyingi nisalizo zinaangukia ktk kuitaja damu ya Yesu 🙏
Naomba kujua kwanini ulisema Damu ya Yesu nisaidie?

Una Elimu ipi kuhusu msaada wa Damu ya Yesu?
 
Soma hapa, usipuuzie ndoto wala kudharau ndoto ....
Ndoto zote Zina maana ...
 

Attachments

  • Screenshot_20230511-125753.jpg
    Screenshot_20230511-125753.jpg
    135.8 KB · Views: 10
Nyumba ilikuwa inakaliwa na Mganga tena ikitumika kuagulia? Zipo roho chafu zimetapakaa humo.

Kuna mawili tu unayopaswa kufanya. Weka imani yako kuwa thabiti na isiyoterereka hata kidogo. Uwe na nguvu za kukuwezesha kupambana na roho hizo chafu na hatimae uzishinde.

Pili, chagua kuhama hapo. Ondoka na katafute mahali pengine pa kupanga. Itakupunguzia maswaibu ya humo ndani.

Tatu, chagua kubaki katika eneo moja. Kama utaamua kubase upande wa Yesu Kristo, basi ya kheri kwako. Kama utachagua upande mwingine ukamuamini Allah na mafundisho ya mtume Muhammad (S.A.W), basi napo ni Fungu jema.
 
Sijachanganya lolote,damu ya Yesu nilitamka usingizi wakati nakabwa.Hii nyumba nimeambiwa aliyekuwa anaishi alikuwa mganga na alikuwa anaitumia kuagulia watu.Muda sio mrefu katoka kunipigia,sikuwa kwenye mazingira ya kupokea,nikitoka job ntampigia nione alikuwa ananitafutia nini.
Nimesema unachanganya sbb unatumia udi!
Ww unaemwamimi Yesu hutakiwi kutumia hivyo vitu.
Sawa mpendwa, nyumba Ina madhabahu za kiganga hiyo km kulikuwa na hizo kazi hapo, lkn na we hizo ndoto Zinaonyesha Kuna shida!

Kuna mdau kakuuliza swali zuri hapo unaufahamu ,uelewa kuhusu damu ya Yesu na namna ya kuitumia?

Mi nakuuliza una uelewa kuhusu ndoto kibiblia na namna ya kuziombea?
 
Ulipoombwa soda ukiamini ni soda Kweli?

Wanataka Damu, utawala Damu ipi?

Mtu anapokufa ni huenda Kuzimu au Mbinguni.

Waliko wazazi wako ndiko wanataka nawe uende, na kama wako kuzimu hawafanyi hivyo Kwa ridhaa Yao.

Walio kuzimu wapo Gerezani kusubiri HUKUMU, msimamizi wa gerezani la kuzimu ni shetani na mapepo. Hao ndio wanawashurutisha wazazi wako wakuijie ukaungane nao Mahali pa mateso.

Dini Yako haitakusaidia, unamhitaji Yesu.

Umkiri Yesu kuwa mwokozi wako na ukubali kuacha DHAMBI.

Acha IBADA ya sanamu,cacha POMBE, acha UZINZI ,wizi, nk, Roho mtakatifu atakusaidia kuacha DHAMBI. Pia kaa mbali na mapambo na mawigi bandia, hayo hukaribisha Roho chafu zikusumbue.

Pia hama nyumba hiyo maana Si Rahisi ufukuze miungu ya mwenye nyumba aliyoiweka kwake. Tafuta nyumba ya waliookoka utaishi Kwa Amani.

Mwombe Roho mtakatifu akuelekeze mahala sahihi pa kwenda kuabudu maana siku hizi madhabahu nyingi Pana uchafu.

Mungu akubariki.

Amen.
 
Back
Top Bottom