Kikwete: Chagueni kijana kunirithi

Kikwete: Chagueni kijana kunirithi

Badala ya kujadili mageuzi ya kimfumo anajadili sura za watu

Yeye alikua na muonekano wa ujana akafanya nini ?Tena kwa kauli zake atawatia nuksi hata wagombea wenye haiba ya ujana

Reasoning capacity za aina hii tukianza kuzihoji tutaishia kuonekana tumemu-insult bure !
Hii kauli inaonyesha jinsi Kikwete alivyoishiwa. Kwa matatizo yote tuliyo nayo hivi sasa Tanzania haihitaji Kiogozi wa umri bali kiongozi mwenye vision.
 
Kamwe umri si kigezo vijana waliopewa uwaziri wengi wao hamna hata cha maana walichofanya wengi ni wazinzi tu wamepata nafasi hiyo kujichukulia kila demu wamtakae kwenda ktafuna maisha, tunataka raisi mwenye vision ya kutumia rasilimali zetu kukemea rushwa na ufisadi, hatutaki rais ombaomba anaechekacheka mwenye kupenda kuwagawa watanzania wa ndani na nje ya nchi kwa itikadi za chama. Htutaki rais akiwa ikulu ahutubie kwa kusema zidumu fikra za chama chake, ahutubie watanzania kwa umoja wao, hatutaki kugawanywa. Kuna wazee wapuuzu kama six na kuna vijana ambao hatujui hata kama ni mawaziri kama mwezi wa kwanza, hatujui hata kafanya nini.
 
Angekuwa muwazi zaidi kwa kusema kuwa anatafuta Kijana amrithi uenyekiti wake CCM na sio u Rais
 
CHANZO:Mwananchi

MY TAKE:

Hiki kitakuwa kipimo kizuri sana cha ile dhana ya "zidumu fikra za mwenyekiti" kama tulivyoshuhidia kwenye Bunge Maakumu la Katiba

CC: waliotangaza nia ya kugombe uraisi kupitia CCM.


Ni Kwanini analazimishia tuchague VIJANA? Kwasababu wataficha Maovu yake Serikalini ?

Ukiangalia Mielekeo yake anayewaona kuwa Marais Vijana wote wanaMadosari na Ethical Complaints kibao...

Embu angalia kama BODI za Mashirika kuna Vijana kama JUMA PINTO... si tunataka kuangamiza TAIFA LETU?

Ubaguzi na chuki unaziona - ndio zitazidi na kushamiri nchini kwetu... Hawa VIJANA waliomadarakani kwa sasa ni OPPORTUNIST...

Msituulie NCHI JAMANI... UONGOZI ni MGUMU most of them FUNDS zao zinatoka ndani ya hii SERIKALI wao sio Intellectuals; sio interpreneurs; Just figure heads...


c.c Salary Slip
 
CHANZO:Mwananchi

MY TAKE:

Hiki kitakuwa kipimo kizuri sana cha ile dhana ya "zidumu fikra za mwenyekiti" kama tulivyoshuhidia kwenye Bunge Maakumu la Katiba

CC: waliotangaza nia ya kugombe uraisi kupitia CCM.

Hamkumuelewa, Alisema kazeeka sasa anaomba kijana wa kumrithi...!

Hivi mbona Mama Salama sikumuona jana jamani! Maana sio kawaida yake fwest lady!!!!!
 
Jitambue mkuu membe anamiaka zaidi ya 60 naye kwako wewe ni kijana?
Kwanza alianza na dhana ya "zamu ya mwanamke." Aliposhindwa kumuuza Asha Rose ndipo sasa anakuja na dhana ya ujana. Awaache Watanzania wajichagulie wenyewe. Marekani na ukongwe wake wote katika demokrasia hivi sasa wanamshupalia Hillary Clinton mwenye umri wa miaka 68. Uongozi si ujana. Ni weledi na uzoefu. Kama akionekana kijana mwenye weledi basi tumkubali, si kulazimisha.
 
Lowass 61 na Membe 61; nani mzee kati ya hao? Mvi sio uzee!!!!
 
mbona amesha mchagua magufuli, asijifanye watanzania hatujui . tumchagulie kijana wa kumrithi wakati ameshamchagua yeye mwenyewe . aache unafiki
 
Ni Kwanini analazimishia tuchague VIJANA? Kwasababu wataficha Maovu yake Serikalini ?

Ukiangalia Mielekeo yake anayewaona kuwa Marais Vijana wote wanaMadosari na Ethical Complaints kibao...

Embu angalia kama BODI za Mashirika kuna Vijana kama JUMA PINTO... si tunataka kuangamiza TAIFA LETU?

Ubaguzi na chuki unaziona - ndio zitazidi na kushamiri nchini kwetu... Hawa VIJANA waliomadarakani kwa sasa ni OPPORTUNIST...

Msituulie NCHI JAMANI... UONGOZI ni MGUMU most of them FUNDS zao zinatoka ndani ya hii SERIKALI wao sio Intellectuals; sio interpreneurs; Just figure heads...


c.c Salary Slip

JK amegundua udhaifu wa wana-CCM wa kumlamba miguu kwa kila atakachokisema hivyo anajua akiongea wote wataufyata.

Ukishakuwa Raisi na mwenyekiti wewe ndani ya CCM ni mungu mtu.
 
Back
Top Bottom