Kikwete: Chagueni kijana kunirithi

Kikwete: Chagueni kijana kunirithi

Ben pole sana umemwaga hata kwenye baraza pole sana! Komaa na PhD yako hiko ndicho chako hatakunyang'anya mtu kamwe acha akina Yericko Nyerere wapige kwata humu JF.

Yaani CDM kweli hawana shukran hata wewe Ben wamekufanyia hila zote kila upande kila corner kila mahali na kwa kila mtu!

Kumbuka maneno ya Chief Nanga kwa Odili "Take a scholarship go and read more books leave this dirty game of politics to us who knows how to play with" hahaaaaaaa
 
Tafsiri ya kijana ni ipi?kuna kijana Wa miaka 55 au no dhihaka kwa vijana wa 35?no kichekesho
 
Ni ujinga kwa Rais kuongelea umri kama kigezo cha uongozi badala ya kuongelea uwezo wa mtu. Ningemwona ana upeo kama angeongelea ni kwa namna gani uwezo wa uongozi huendana na umri wa mtu, na kutokana na vigezo hivyo kiongozi hastahili kuwa zaidi ya umri fulani.

Kama uwezo wa uongozi unapungua binadamu akifikia umri fulani, kwa nini tusiweke ukomo wa umri wa juu kwenye katiba kama tulivyoweka hitaji la chini la mtu anayegombea nafasi ya Urais au ubunge? Ajadili kisayansi lakini siyo kuongea kiporojo.

Hizi ndizo hotuba za Kikwete, hazina analysis wala falsafa ya kisayansi.
 
Yote hayo kwa hela za kukopa na kutuongezea deni la Taifa.

Mifuko ya jamii wameifilisi kwa kukopa kujenga chuo cha UDOM n.k matokeo yake sasa wanataka kumbebesha huo mzigo mfanyakazi anapostafu kwa kumdhulumu mafao yake ili mifuko isife jumla.

Wameshindwa kubuni vyanzo vya mapato na kukusanya kodi sasa wanatekeleza ahadi zao kwa hela za kukopa na mwisho wa siku mwananchi ndio anaeumia.

Bora hata Mkapa aliacha hela ya kutosha ila huyu wa sasa atatuachia madeni tu.
Niliwahi kuanzisha thread kuhusu lowasa kusema katika mahojiano na gazeti la mwananchi kwamba aliwaambia wakuu wa mifuko ya kijamii watoe pesa kujenga UDOM wao wakasema hawana,na mifuko haina uwezo,yeye akawaambia ambaye hayuko tayari kutoa fedha aende na barua ya kujiuzuru,MODERATOR WALIIFUTA KWA SPIDI YA UMEME!!!! japo ilikuwa gazetini kama habari
 
huu umri ni wakusomea au wakuombea kazi? Hawa watu waliozaliwa kabla ya uhuru kujua tarehe zao halisi za kuzaliwa ni kazi kwelikweli.

Mfano mtu anatoka familia za wafugaji, sanasana mzazi wake atakuambia, "ero wakati wasiri na saliwa ile maksai yangu kubwa kabisa ndio na anza kupanda" niambie hapo utajua ni tarehe ngapi? Utaishia kubunia tarehe na kufoji cheti.

olesaidimu
 
Last edited by a moderator:
Huyo ndiyo rais wa Tanzania anayejadili umri badala ya uwezo na mbaya zaidi hajui hata sababu za umaskini na matatizo ya Watanzania anaowaongoza na pale anapopatiwa fursa ya kusema atakacho huishia kuomba vyandarua, mabehewa chakavu na vifaa vya michezo vilivyotumika. Hakika hii ni aibu kwake binafsi, familia yake na Taifa kwa ujumla
 
Tabora/Dar. Wakati mbio za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu 2015 zikianza kushika kasi nchini, Rais Jakaya Kikwete amewataka vijana kumchagua mtu anayefanana na kijana kurithi nafasi yake.

Urais siyo cheo cha kurithi .................. Sijui kwa nini CCM wanapenda kudistort mambo!! Ndiyo maana kila siku tunadanganywa eti Rais mtaafu, Waziri mkuu mstaafu!! Lini walistaafu!!? Kama ni kweli wanastaafu si wangekuwa wanaachia katikati kabla ya vipindi vyao kuisha!! Being a former President of Prime Minister does not mean retired President or Retired PM. Hivi leo Sumaye, Warioba ama Lowasa wakipewa uPM wataukaa kwa vile wamestaafu!!?? CCM wanapenda sana kujipambapamba na sifasifa!!

Ujana siyo sifa ya Urais ................ tunataka mtu mwenye UWEZO!!
 
Very correct mkuu! Ndio maana wasira akasema umri ni namba tu ujana ni akili na uwezo. Hao vijana wamelifanyia nini taifa cha kutufanya tutamani kuwapa URAIS? labda huyu Mwigulu anayeact uMoF kwa sasa au yule kijana mwenye uthubutu na ujasiri ZZK lakini kina kigwa &co sijui!
 
Wamchague anayefanana na kijana ha ha ha JK sijui ana uadui gani na mamvi.

Anasumbuliwa na kivuli cha hofu ya madhambi aliyomtendea Lowassa,alimtumia Mwakyembe kumfitini Lowassa lakini wao sasa wamenaswa mchana kweupe wakihongwa saa na wanakenua tu meno bila hata haya...what goes around comes around
 
Matatizo ya kudhurula sana USA sasa anarudisha mjadala ambao wenye akili wameisha utolea majibu siku nyingi! Anadhani Vijana wanapewa uongozi kwa kuokotwa tu mitaani na kupewa uongozi? Aeleze hata hawa mawaziri wake nani anafaa hata kuwa DC tu wa Wilaya ktk nchi yenye kujali maadili na weledi ktk uongozi?
 
Hivi membe ni kijana???membe atakuwa mkubwa sna,alidumaa tu kwaajili ya shida alivyokuwa mdogo,ukitaka kujua ni mkubwa msogolee umuone na hilo domo lake

Ni kama yeye mwenyewe Kikwete. watu walihadaika wakadhani kijana kumbe kijeba. Mtu anakula mihogo kwa pilipili unategemea aonyeshe utu uzima? Na akili inatatizika pia.
 
Kagame na Kenyatta wanaongoza mkutano wa wafanyabiashara wakubwa wa Afrika Mashariki mjini Kigali leo hii,yeye anapika majungu ya Urais
 
ulitaka akuzalishe ndo ujue kwamba kafanya la maana? barabara, maji, mashule, mavyuo, umeme, mahosipitali na mengine mengi hayakutoshi?

Wewe kwako ngono ndio kitu cha maana? Ona ulivyo na mawazo finyu ya kupenda kuwaza waza ngono kama ya huyo rais!
 
Wewe kwako ngono ndio kitu cha maana? Ona ulivyo na mawazo finyu ya kupenda kuwaza waza ngono kama ya huyo rais!
ulitaka akuzalishe ndo ujue kwamba kafanya la maana? barabara, maji, mashule, mavyuo, umeme, mahosipitali na mengine mengi hayakutoshi?
 
Ni ujinga kwa Rais kuongelea umri kama kigezo cha uongozi badala ya kuongelea uwezo wa mtu. Ningemwona ana upeo kama angeongelea ni kwa namna gani uwezo wa uongozi huendana na umri wa mtu, na kutokana na vigezo hivyo kiongozi hastahili kuwa zaidi ya umri fulani.

Kama uwezo wa uongozi unapungua binadamu akifikia umri fulani, kwa nini tusiweke ukomo wa umri wa juu kwenye katiba kama tulivyoweka hitaji la chini la mtu anayegombea nafasi ya Urais au ubunge? Ajadili kisayansi lakini siyo kuongea kiporojo.

Hizi ndizo hotuba za Kikwete, hazina analysis wala falsafa ya kisayansi.

Ni kweli kabisa mkuu! Kinachomsumbua JK ni hofu ya Lowassa! Nakumbuka aliwai kusema tena haya maneno siku za nyuma. Ana kitu kinachoitwa 'Lowasa phobia' ambacho ni kibaya sana.
 
Huyo ndiyo rais wa Tanzania anayejadili umri badala ya uwezo na mbaya zaidi hajui hata sababu za umaskini na matatizo ya Watanzania anaowaongoza na pale anapopatiwa fursa ya kusema atakacho huishia kuomba vyandarua, mabehewa chakavu na vifaa vya michezo vilivyotumika. Hakika hii ni aibu kwake binafsi, familia yake na Taifa kwa ujumla

Rais bogus kuliko wote barani Africa!
 
Tatizo ni kama kweli kinachosemwa kinatoka moyoni. maana wa tz tumekuwa na tabia ya kusema kile watu wengi wanapenda kusikia lakini ndani ya mioyo yetu ni giza nene.
 
Back
Top Bottom