Unajua huyu kiongozi anawalinganisha watanzania na uwezo wake mdogo wa kuangalia na kufanya mambo.
Ina maana watu wake hawasomi demographic survey kwamba 44% ya watanzania leo hii ni vijana wa chini ya miaka 35 na wazee hawazidi asilimia 4 ya population yetu? Na kwa kweli wazee hao watakosa hekima kama hawatazungumzia angalau swala la wazee wa iliyokua EAC na maswala ya serikali yake kugeuka kiosk cha wakina Rostam, swala zima la ripoti ya uwezeshaji kwamba uchumi wetu uko chini ya 1% ya watanzania waasia na wageni wachache haiwezi kuelezewa kwa kutuia vigezo vya kwamba tulirithi toka kwa wakoloni hivi hawajui kwamba hiyo ndio sababu iliyowafanya watanzania wagombee uhuru?
Hatukugombea uhuru wa siasa bali wa kiuchumi watu hawasomi historia hata ya nchi yetu? Na pia wamuulize hivi nchi imejiandaaje kutumia nafasi ya mkutano wa world economic forum? ama objective ni kuuza sura kwa kutoa speech ya ufunguzi, nimesoma kituko cha statement ya serikali kwamba itatoa investment opportunities 'crap' hivi kila mtu ni mjinga kiasi hicho jamani? Unajua ni uoga tu lakini Lowasa akichukua form leo hii wengi tutamuunga mkono, tunachotaka sasa ni kumtoa huyu bwana na si CCJ si nani atakaeweza kuuzika katika hili ni Lowasa tu.
Hatuna miaka mingine mitano ya kupoteza kulea ubovu
Ina maana watu wake hawasomi demographic survey kwamba 44% ya watanzania leo hii ni vijana wa chini ya miaka 35 na wazee hawazidi asilimia 4 ya population yetu? Na kwa kweli wazee hao watakosa hekima kama hawatazungumzia angalau swala la wazee wa iliyokua EAC na maswala ya serikali yake kugeuka kiosk cha wakina Rostam, swala zima la ripoti ya uwezeshaji kwamba uchumi wetu uko chini ya 1% ya watanzania waasia na wageni wachache haiwezi kuelezewa kwa kutuia vigezo vya kwamba tulirithi toka kwa wakoloni hivi hawajui kwamba hiyo ndio sababu iliyowafanya watanzania wagombee uhuru?
Hatukugombea uhuru wa siasa bali wa kiuchumi watu hawasomi historia hata ya nchi yetu? Na pia wamuulize hivi nchi imejiandaaje kutumia nafasi ya mkutano wa world economic forum? ama objective ni kuuza sura kwa kutoa speech ya ufunguzi, nimesoma kituko cha statement ya serikali kwamba itatoa investment opportunities 'crap' hivi kila mtu ni mjinga kiasi hicho jamani? Unajua ni uoga tu lakini Lowasa akichukua form leo hii wengi tutamuunga mkono, tunachotaka sasa ni kumtoa huyu bwana na si CCJ si nani atakaeweza kuuzika katika hili ni Lowasa tu.
Hatuna miaka mingine mitano ya kupoteza kulea ubovu