Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Namsikiliza JK amezungumzia mkutano wa WEF. Sasa anazungumzia tishio la mgomo wa TUCTA. Ameibeza kauli ta TUCTA kuwa serikali haiwajali wafanyakazi na kuwa serikali yake sio sikivu "TUCTA ni waongo!.