ally mkali
Member
- Sep 27, 2009
- 41
- 4
pole sana mkuu jk ila asisahau afya yake ni muhimu kuliko kazi, na fikiri anahitaji uangalizi wa madaktari zaidi vinginevyo mzee ataliacha jukwaa huku akiwa bado analipenda. bado tunazihitaji busara na hikma zako kipindi kijacho cha uongozi. mungu akuponye linalokusumbua.