Maishamapya
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,279
- 375
sasa nimeamiani kweli WASSIRA choka mbaya kifikra
Yeye ndiye aliye kaa na UVCCM na kuwashauri la kufanya leo tena anakuwa mstari wa mbele kuwa shambulia dah hii kali
Unategemea nini? Na kama walimwamini basi nao ni vilaza sana. Alichofanya yeye ni kuwaingiza mkenge halafu awakaange kama alivyofanya kisha yeye aendelee kupeta.