Kutokana na habari zinazoendelea ni wazi kabisa hakuna uwezekano wa kikwete na hoseah kufanya kazi katika serikali moja. kwani kama yaliyosemwa na hoseah ni kweli basi kikwete anatakiwa kujiuzulu na kama si hivyo basi kikwete ni dhahiri atamuwajibisha hoseah.............
je ni nani kati ya watu hawa ataondoka katika kiti chake?
je ni nani kati ya watu hawa ataondoka katika kiti chake?