ITV yalalamikiwa kuvuruga uchaguzi wa TLS, yadaiwa kumbeba Prof. Edward Hoseah

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,671
218,175
Haya ndio malalamiko mapya yaliyowasilishwa kwetu na wadau mbalimbali wa Haki, jambo hili linalalamikiwa kutokana na Kipindi cha Dakika 45 cha ITV kufanya mahojiano na mmoja wa Wagombea, Edward Hoseah ambaye ni Rais wa sasa TLS.

KItendo cha kumhoji Hoseah peke yake, tena katikati ya Kampeni, kimeonekana kama kampeni ya makusudi ya ITV ya kumfanyia promo Edward Hoseah, jambo linalotafsiriwa kama ni kuvunja kwa Kanuni za uchaguzi.

Je, Wagombea wengine wa nafasi ya Urais wa TLS, akiwemo Wakili Msomi Mtobesya anayepewa nafasi kubwa ya kushinda, watahojiwa lini na hiyo DK 45 ya ITV?
 
Si huwa tunaambiwa kuwa hao Mawakili ni watu smart sana ndio maana wakaitwa hadi jina 'Wasomi'?. Sasa kwa watu smart kama hao unataka kunambia wanaweza kushawishika kwa maelezo ya mtu kwa kipindi cha dakika 45 cha siku moja wakasahau hoja za msingi za Wagombea?

Kama ni kweli hicho kipindi kinaweza kuwashawishi hao ndugu na wakasahau hoja za msingi za muda mrefu maana wanajuana, basi kuanzia leo wasiitwe 'wasomi' wala watu 'smart'. Hakuna mtu smart anaweza kushawishiwa na maneno ya mtu aliyosema kwa dakika 45 ndani ya siku moja.
 
Si huwa tunaambiwa kuwa hao Mawakili ni watu smart sana ndio maana wakaitwa hadi jina 'Wasomi'?. Sasa kwa watu smart kama hao unataka kunambia wanaweza kushawishika kwa maelezo ya mtu kwa kipindi cha dakika 45 cha siku moja wakasahau hoja za msingi za Wagombea?

Kama ni kweli hicho kipindi kinaweza kuwashawishi hao ndugu na wakasahau hoja za msingi za muda mrefu maana wanajuana, basi kuanzia leo wasiitwe 'wasomi' wala watu 'smart'. Hakuna mtu smart anaweza kushawishiwa na maneno ya mtu aliyosema kwa dakika 45 ndani ya siku moja.
Kitendo cha kumfanyia kampeni mtu mmoja, hata kama hatashinda hakikubaliki.
 
Kitendo cha kumfanyia kampeni mtu mmoja , hata kama hatashinda hakikubaliki .
Itakuwa ndio strategy ya huyo mgombea huenda. Kwani hivyo vipindi huwa ni bure au muhusika aliyeitwa ndo analipia? Kama kuna malipo basi ITV hawajafanya kosa. Ila kama hakuna kulipia ni kweli kuna bias. Au ndio mambo ya connection za kibongo...

Anyway, sitegemei hicho kipindi kiwe na impact kwenye uamuzi wa hao wanaosemwa ni watu 'smart'. Mtu smart anatakiwa kujua anampa nani kura tangu siku ya kwanza majina ya wagombea yanapopitishwa..
 
Itakuwa ndio strategy ya huyo mgombea huenda. Kwani hivyo vipindi huwa ni bure au muhusika aliyeitwa ndo analipia? Kama kuna malipo basi ITV hawajafanya kosa. Ila kama hakuna kulipia ni kweli kuna bais. Au ndio mambo ya connection za kibongo...
hakuna malipo
 
Haya ndio malalamiko mapya yaliyowasilishwa kwetu na wadau mbalimbali wa Haki, jambo hili linalalamikiwa kutokana na Kipindi cha Dakika 45 cha ITV kufanya mahojiano na mmoja wa Wagombea, Edward Hoseah ambaye ni Rais wa sasa TLS.

KItendo cha kumhoji Hoseah peke yake, tena katikati ya Kampeni, kimeonekana kama kampeni ya makusudi ya ITV ya kumfanyia promo Edward Hoseah, jambo linalotafsiriwa kama ni kuvunja kwa Kanuni za uchaguzi.

Je, Wagombea wengine wa nafasi ya Urais wa TLS, akiwemo Wakili Msomi Mtobesya anayepewa nafasi kubwa ya kushinda, watahojiwa lini na hiyo DK 45 ya ITV?

Sijaona mantiki kabisa . Embu Sema tu unachotaka. Je huyo wakili unayemtaka wewe na hao waliolalamika ni mwanachadema?
 
Back
Top Bottom