Kikwete anastahili sifa

Kikwete anastahili sifa

Ungeyajuwa yote hayo? ulikuwa unayapata bungeni live kabla ya ujio wa Kikwete?

mfumko wa bei unajulikana kupitia ripoti ya cag?
Mikataba mibovu imejulikana kupitia ripoti ya cag?

Kama ana nia thabiti mfumo wa ukaguzi wa ndani na nje(internal auditor general) ibadilishwe..... Kama kuna nia ya dhati IAG na CAG wasiwe chini ya 'rungu' lake.

Kama kuna nia ya dhati Internal Auditor General angewezeashwa angepewa meno, Internal auditors wakawa independent,

wanbekuwa na nia ya dhati ripoti hizi zingefanyiwa kazi. Kuna umuhimu gani wa ripoti kuwa wazi na kuzifungia makabatini? Baada ya miaka kadhaa zitaishia kufungia maandazi bila hatua yoyote? Hatuhitaji maneno na sifa zisizo na kichwa wala miguu tunahitaji vitendo
 
mfumko wa bei unajulikana kupitia ripoti ya cag?
Mikataba mibovu imejulikana kupitia ripoti ya cag?

Kama ana nia thabiti mfumo wa ukaguzi wa ndani na nje(internal auditor general) ibadilishwe..... Kama kuna nia ya dhati IAG na CAG wasiwe chini ya 'rungu' lake.

Kama kuna nia ya dhati Internal Auditor General angewezeashwa angepewa meno, Internal auditors wakawa independent,

wanbekuwa na nia ya dhati ripoti hizi zingefanyiwa kazi. Kuna umuhimu gani wa ripoti kuwa wazi na kuzifungia makabatini? Baada ya miaka kadhaa zitaishia kufungia maandazi bila hatua yoyote? Hatuhitaji maneno na sifa zisizo na kichwa wala miguu tunahitaji vitendo

Mfumko wa bei ulianza leo? bado ushukuru Mungu kuna mfumko wa bei lakini unamudu kula kila siku. Kuna vitendo zaidi ya hivyo unavyoviona? ulikuwa unaweza hata kusema awamu zilizopita? labda umezaliwa juzi na haujui tulipotoka.

Wakati wa Nyerere hata kwi, ulikuwa huwezi kusema, thubutu umuulize matumizi, kaachia ngazi akachoma moto na benki kuu, ulishasikia hilo? au wanaokuhadithia habari za Nyerere hilo hawakuelezi?
 
Baada ya Rais Kikwete kuunda upya mfumo wa ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na baada ya kulazimisha ukaguzi huo uwe unafanywa kwa haraka zaidi, sio kama ilivyokuwa kwa uongozi wa kabla yake, na baada ya kufanya kila njia hesabu hizo ziwe zinajadiliwa kwa uwazi bungeni. Tunaona matunda yake.

Kikwete, unastahili kila sifa njema kwa kuwa mwenye kutoa na kufanya maamuzi kidemokrasia bila kuchukuwa hatua mkononi mwako (udikteta). Tunaona CAG ilivyofanya kazi, hakuna aliyetegemea kama itakuwa hivi.

Wapinzani, wameirukia hoja kama vile ni ubunifu wao, wanasahau kuwa wewe ndiye muasisi wa huu mfumo mpya na wewe ndiye uliyemteua Utoh.

Wanasahau pia kuwa wewe ndiye uliyeamuwa na kuanzisha mfumo wa hizi ripoti za mkaguzi mkuu zijadiliwe bungeni, hakuna aliyekuwa na moyo huo kabla yako. Mungu akuweke uendelee kuonesha njia.

Kama kumbukumbu zangu ziko sawasawa, karibu mawaziri wote waliotuhumiwa bungeni basi walituhumiwa either na report za kamati za bunge (e.g. Maige VS Lembeli, Mkulo VS Zitto, Nundu VS Serukamba, etc etc), au kwa michango ya wabunge wakati wanajadili reports hizo. Report ya CAG ilitumika sanasana kukazia kelele zilizokuwa zinapigwa kwenye kamati hizi za bunge miaka nenda rudi!
Ni CAG huyohuyo alijaribu kumsafisha Jairo, lakini Kamati teule ya Eng. Rama ikaja kumuumbua. Sasa ulitegemea afunike uozo wakati kamati karibu zote zimekuja na report zinazowanyooshea mawaziri na watendaji wengine vidole? Come on Ribosome!
 
Mkuu auditor sio polisi, akikuandikia taarifa anapaswa kukushauri ufanye nini, then weww ulioshauriwa uchukue hatua/ufanyue kazi ushauri wake, unaweza kumuita mahakamani kama shahidi tu....

mkuu BADILI TABIA asante sana kwa kunijuza hilo ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya Rais Kikwete kuunda upya mfumo wa ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na baada ya kulazimisha ukaguzi huo uwe unafanywa kwa haraka zaidi, sio kama ilivyokuwa kwa uongozi wa kabla yake, na baada ya kufanya kila njia hesabu hizo ziwe zinajadiliwa kwa uwazi bungeni. Tunaona matunda yake.

Kikwete, unastahili kila sifa njema kwa kuwa mwenye kutoa na kufanya maamuzi kidemokrasia bila kuchukuwa hatua mkononi mwako (udikteta). Tunaona CAG ilivyofanya kazi, hakuna aliyetegemea kama itakuwa hivi.

Wapinzani, wameirukia hoja kama vile ni ubunifu wao, wanasahau kuwa wewe ndiye muasisi wa huu mfumo mpya na wewe ndiye uliyemteua Utoh.

Wanasahau pia kuwa wewe ndiye uliyeamuwa na kuanzisha mfumo wa hizi ripoti za mkaguzi mkuu zijadiliwe bungeni, hakuna aliyekuwa na moyo huo kabla yako. Mungu akuweke uendelee kuonesha njia.


Umefanya utafiti wa kutosha? maana inawezekana mazuri kama kuonesha bunge live, CAG reports, PCCB na baadhi ya 'mazuri' unayayasifia ni conditions za 'wafadhili na wahisani'.:tape2:

Hata kama kaamua kuruhusu kwa hiari yake, kama hamna hela zinazorudishwa na wala hamna anayechukuliwa hatua baada ya kujihuzulu au kutokuchaguliwa kwenye baraza jipya la mawaziri anastahili sifa kwa lipi?
 
huyu sifa anayostahili ni kwa kuweka rokodi ya kuzurura kwenye nchi za watu.!

Nani kabla yake aliruhusu ripoti za CAG zijadiliwe bungeni?
 
hahahaha!! Watanganyika no wanamagamba mnachekesha sana. Mtu anatimiza robo ya wajibu wake tu halafu mnampa siiiiiiiifa, utafikiri amafanya kitu kisicho tarajiwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Umefanya utafiti wa kutosha? maana inawezekana mazuri kama kuonesha bunge live, CAG reports, PCCB na baadhi ya 'mazuri' unayayasifia ni conditions za 'wafadhili na wahisani'.:tape2:

Hata kama kaamua kuruhusu kwa hiari yake, kama hamna hela zinazorudishwa na wala hamna anayechukuliwa hatua baada ya kujihuzulu au kutokuchaguliwa kwenye baraza jipya la mawaziri anastahili sifa kwa lipi?

Wewe usiwe na fikra finyu. Wafadhili walimbana mbavu Nyerere mpaka akaachia au hujawahi kusikia kuhusu Lonrho?

Kikwete anajuwa anachokifanya, maisha yake yote amekuwa kiongozi. Ana CV inayojitosheleza na uwezo ameuonesha kwa kufanya mambo ambayo hata wapinzani hubaki kimya. Mnabaki kulalama JF. Mkifika Ikulu na baada ya kukumbana na lile jabali pale, mnatoka mkiwa mmeufyata au hujui hilo?

Huwa hana papara, anapima kila angle na akiamua huwa ni bila kukurupuuka. Nyinyi mlalame mpaka mchoke, sasa waambieni madiwani wenu wachukuwe hatua za kisheria, si ripoti ya CAG imeshafichuwa madudu? au mnangoja Kikwete aende kushtaki?
 
Huo ni ufinyu wa kufikiri. Ni wewe ulianzisha mfumo huu ambao leo hii unaweza kuwajua wabadhirifu? funguka kidogo.

Mliibiwa awamu zote za kabla ya Kikwete bila kujijuwa, leo kawaonesha njia mbadala inabidi mumpe kila sifa. Mngeyajuwa haya?

Wewe ***** nini? Kwa hiyo unafurahia mfumo ambao hata hivyo matokeo yake hayana faida kutokana na kutotumiwa kuwaadhibu waliokosea. Kweli akili za nyani hazimfai mbuzi.

Sasa kaa barabarani wewe na familia yako msubiri msafara wake mumpe sifa.
 
hahahaha!! Watanganyika no wanamagamba mnachekesha sana. Mtu anatimiza robo ya wajibu wake tu halafu mnampa siiiiiiiifa, utafikiri amafanya kitu kisicho tarajiwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Tuoneshe mmoja kati ya Marais waliopita alifanya nini ambacho Kikwete hajafanya zaidi yake. Nakuhakikishia huna.
 
Baada ya Rais Kikwete kuunda upya mfumo wa ukaguzi wa mahesabu ya Serikali na baada ya kulazimisha ukaguzi huo uwe unafanywa kwa haraka zaidi, sio kama ilivyokuwa kwa uongozi wa kabla yake, na baada ya kufanya kila njia hesabu hizo ziwe zinajadiliwa kwa uwazi bungeni. Tunaona matunda yake.

Kikwete, unastahili kila sifa njema kwa kuwa mwenye kutoa na kufanya maamuzi kidemokrasia bila kuchukuwa hatua mkononi mwako (udikteta). Tunaona CAG ilivyofanya kazi, hakuna aliyetegemea kama itakuwa hivi.

Wapinzani, wameirukia hoja kama vile ni ubunifu wao, wanasahau kuwa wewe ndiye muasisi wa huu mfumo mpya na wewe ndiye uliyemteua Utoh.

Wanasahau pia kuwa wewe ndiye uliyeamuwa na kuanzisha mfumo wa hizi ripoti za mkaguzi mkuu zijadiliwe bungeni, hakuna aliyekuwa na moyo huo kabla yako. Mungu akuweke uendelee kuonesha njia.

huyu Raisi hana lolote. Kaka hujui the reason behand open audited report kwa public. ni shininizo ili budget yetu iweze kuwa finance na wanagharibi. kikkwete hana uwezo wa kuruhusu haya ila ni mashinikizo ya mataifa ya njke,ifm pamoja na world bank. na pia anakozungukazunguka amepewa mashart kadhaa ya kupewa misaada na mikopo. Mfano ni wewe uko na kiashara yako na wataka kukopa toka bank, u have to produce audited financial report(by public auditor) which then will create confidence to the lender to have assurance of your financial position. Hivyo kaka kama sion
hawa watu mngelala macho wazi mkisubiri report. rejea Mkutano wa Brazili juzi hotuba zake do utapata the reason behind. na yote haya ni withing wimbo wa wamagharibi wa Good Governance for sustanable development ambapo kwa tanzania ni karib ia zero. Mfano wa good governance
1. Transparence and open information system??
2. enhence human rights/rule of law??
3. integrity??
4. accountability??
5. participation??
6. responsiveness
7. equity and inclussiveness??
8. effectiveness and efficience??
9. strategic vision??
10. predictability / reliability??

jk na serikali yake inatenda yepi kama xsio magulumash tu????
 
Back
Top Bottom