Kikwete anaiogopa CHADEMA?

Kikwete anaiogopa CHADEMA?

Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!

Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa

na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na

taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga

tu.

Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.

mkuu hebu toa mfano wa jambo ambalo cdm wamewapinga ccm hali lina maslah kwa taifa,
 
Chadema hatutaki ubunge wa mezani, tunataka ubunge toka kwa umma



ama kweli nimeanza kuhisi mbatia ni kwa ajili ya Mdee na Muhongo ni kwa ajili ya Vicent NYERERE PALE MUSOMA MJINI!.

Inawezekana kabisa hana move ya kubortesha utendaji bali ni kuua upinzani wa CHADEMA!
 
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!

Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa

na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na

taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga

tu.

Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.


Usiropoke na usilolijua na sio lazima kuchangia kila linalokatiza mbele yako. Hili ndio tatizo lako, usijifanye unajua kila kitu. Fuatilia ni mangapi cdm wametoa ushauri kwa serikali lakini hayakufuatiliwa. Na ni chama gani kinasababisha hata hao akina mbatia wanapata ubunge ss.
 
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga tu. Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.
jamaniii, Mwogope MUNGU wewe! kumbuka walivyopinga ile sheria ya kukusanya maoni ya katiba, walipopewa nafasi kila mmoja alijifanya kuwa alikuwa na mawazo kama yao.Vilevile hata ndani ya CCM kuna wanaopinga ule uovu uliopo lakini wanaogopa kwa vile hawakulelewa kusema ukweli, mfano mzuri uliona katika bunge lililopita
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea kuwa tishio kwa ccm baada ya Rais kikwete kuogopa kuteua mbunge kutoka ndani ya chama hicho. Je kwa kuogopa huko ni dalili ya chama hicho kuwatishio kwa ccm?.

Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.

CUF = CCM B
NCCR = CCM C

CHADEMA ni chama cha upinzani Kikwete hana ubavu wa kumteua mbunge kutoka upinzani. hao hapo juu ni washirika wake
 
haya mazingira Jk anayotengeneza yanaweza yakaleta serikali ya mseto 2015

Mkakati wa CHADEMA ni kushinda uchaguzi kwa zaidi 75% vote. Sasa huo mseto utatokea wapi?

Sina hakika kama Jk naye anatumia masaburi kuwaza. kama anatumia hivyo itakuwa hatari
 
Awaogope kwa lipi? Ile mikwala ya kukesha viwanjani mpaka uchaguzi wa umeya Arusha urudiwe imeishia wapi? Kwenye Tume ya katiba Prof Baregu kateuliwa na Slaa? Wenzenu wakiteuliwa Vibaraka,nyie mkiteuliwa kimyaa!!wekeni utaratibu Rais akisafir na wabunge wenu mfahamishwe pengine hamlijui hilo!
 
mkuu hebu toa mfano wa jambo ambalo cdm wamewapinga ccm hali lina maslah kwa taifa,

uchaguz wa meya wa Arusha mjini,wamebembelezwa kama mnahisi taratibu zimekiukwa nendeni mahakamani wamekataa! Lema akageuka Kibwetere kukesha viwanjani na kufunga mpaka Meya aondoke,!!
 
Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea kuwa tishio kwa ccm baada ya Rais kikwete kuogopa kuteua mbunge kutoka ndani ya chama hicho. Je kwa kuogopa huko ni dalili ya chama hicho kuwatishio kwa ccm?.

Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.

Bangoo.....nakubaliaana na wewe 100 ya mia....Inasikitisha kuona hili linatokea ....ila ndo siasa zetu tufanyeje?!!! Mimi nazani wewe na mimi tuiunge mkono Chadema na tuendelee kuelimisha wananchi waiunge mkono
 
Awaogope kwa lipi? Ile mikwala ya kukesha viwanjani mpaka uchaguzi wa umeya Arusha urudiwe imeishia wapi? Kwenye Tume ya katiba Prof Baregu kateuliwa na Slaa? Wenzenu wakiteuliwa Vibaraka,nyie mkiteuliwa kimyaa!!wekeni utaratibu Rais akisafir na wabunge wenu mfahamishwe pengine hamlijui hilo!

Songoro Umelewa wewe si bure!
 
Mbunge wa kuchaguliwa anatetea wananchi waliomchagua ,wa kuteuliwa anatetea wananchi na chama chake je mbatia atatetea JK au ccm au nccr
 
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!

Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa

na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na

taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga

tu.

Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.

Badili Avatar yako na signature then come back!
 
Upinzani sio uadui mkuu wala kupinga kila kitu!

Sasa kuna vyama tanganyika viongozi wake wanadhani kuwa mpinzani maana yake we uwe against na kila linalofanywa

na serikali hilo ndio tatizo la hao CDM, tofauti n vyama vingine ambavyo katika baadhi ya masuala yenye manufaa na

taifa wanakubaliana na serikali au wanatoa maoni yenye kuboresha CDM yenyewe imejengeka katika mfumo wa kupinga

tu.

Sasa katika hali hiyo usitegemee atokee mbunge wa kuteuliwa toka kwa hawa watu.

chadema hawategemei wabunge wa kuteuliwa tu na nakurekebisha pia kuwa chadema hawapingi masuala ya maendeleo yenye manufaa kwa raia wa Tz bali chadema wanapinga rushwa,ufsadi na uongozi usiowajibika kwa wananchi na huu ambao ccm wanauendesha pamoja na wewe pia ni kenge ambaye uko kwenye msafara wa mamba.
 
Jk angethubutu kuingiza mkono tu, yaani mkono wake tu, ningehama CDM siku hiyo hiyo!

yaani watu wenye ubongo wageuzwe matutusa na mtu asokuwa na ubongo, hakiyanani hata mm ningehama chama,
 
Bwana Bangoo. Tanzania ukitaka kupewa cheo inabidi uwe kibaraka, mnafiki na mbabaishaji. Ukiwa mkweli na mchapa kazi huendi popote. Mifano ipo mingi ... angalia kina John Cheyo, Augustine Mrema, na James Mbatia nasikia ameteuliwa kuwa mbunge nk nk nk....

Huchelewi kusikia kwenye baraza jipya Augustino Lyatonga Mrema. Tutawajua kwa matunda yao. aliyesema Time will tell hakukosea. Mapandikizi yatajulikana.
 
Dah thread nyingine bwana, yaani kwa akili zako, Mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaweza kuogopa chama cha vilaza kama Chadema?.
.
"Ama kweli CHADEMA NI SAWA NA NG'OMBE ASIYE NA BEI SOKONI".
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".









Nahisi wewe ni mmoja kati ya mafisadi wa CCM. CDM kwa taarifa yako ni chama cha watu makini wenye elimu zao. Fanaya utafiti kwa wabunge wa CDM jinsi wanavyowasumbua wabunge wa CCM. Ni wachache lakini chachu yao bungeni ni kukubwa kuliko hao wa CCM. Rudi mtaani utanipa majibu.
 
Back
Top Bottom