Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimeendelea kuwa tishio kwa ccm baada ya Rais kikwete kuogopa kuteua mbunge kutoka ndani ya chama hicho. Je kwa kuogopa huko ni dalili ya chama hicho kuwatishio kwa ccm?.
Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.
Bunge lilopita aliteua Jusa kutoka cuf, na cuf walikuwa chama kikuu cha upinzani.
Najua raisi anaweza kuchagua kutoka chama chochote lakini kushindwa kuteua kutoka cdm nadhani amedhihirisha kuwa cdm ni chama chenye kutishia uwepo wa ccm.
Nawasilisha
Maoni haya ni ya mlala hoi!.